MacBook Pro
13 inch
Core i5
RAM 4GB
HDD 500GB
Intel HD Graphics 4000 1536MB
Processor Speed 2.5GHz
OS X EL Capitan Version 10.11.3
Clean Condition
Location: Dar es salaam
PRICE: 1.36M...
Kwa mtu yyte mwenye taarfa yyte anisaidie nahitaj chumba maeneo ya magomeni mapipa...
Najiandaa kujiunga na chuo cha D I T hivyo nilihitaj huduma hiyo ya makaazi maeneo ya mapipa t...ahsanteni...
Habari.
Tunapokea ORDERS kwaajili ya Tractor Kongwe 'original' aina ya MASSEY FERGUSON 1080.
Zitakazowasili Nchini December 2016.-
*Zitashushiwa Zanzibar.
Ni diesel engine, zenye uwezo wa...
NAITAJI CHUMBA CHA KUPANGA MAENEO YA SAABA SABA AU KWA AZIZI ALI AU MTONGANI AU UFUNDI BEI 40000 AU 50000 LAKINI MWENYE NYUMBA ANISAIDIE NMPATIE ELA NUSU BAADA MWEZI MMOJA NAMALIZIA PESA YAKO KAMA...
AFYA YA NGOZI (CHUNUSI).
Kuna baadhi ya watu wenye changamoto ya CHUNUSI, hazitaki kuisha katika ngozi zao...hii huweza kutokana na kwamba tatizo liko ndani ya mwili ila wewe unatumia bidhaa za...
Natafuta gari aina ya noah kwa milioni saba nitatoa milioni tatu na nusu cash na baada ya miezi sita nitamalizia milioni tatu na nusu.
Mwenye nayo wasiliana nami kupitia +255753868912
Habari wana jf nauza nokia lumia 525 ipo katika hali nzuri
Simu ina gb 7 za ndani pia uta pata na ofa ya memory ya 2 gb.
Ina kreki kido kwenye kioo ila ukitaka na kioo kipya unabadilishiwa...
Watu wengi wenye nyumba zenye madirisha ya alluminium wanapata tatizo la mbu kujaa ndani.
Hili linatokana na sababu zifuatazo.
1. Nyavu kuchoka na na kuwa na matundu makubwa.
2. Mafundi kutoweka...
Kutoka mbeya sisi ni wasambazaji wa bidhaa mbalimbali kama:
mchele halisi wa kyela na kamsamba kuanzia kg2, kg5, kg 10 na kg20
maharage kuanzia kg2, kg5, kg 10 na kg20
unga wa sembe na dona...
Habarini wana jamii forum, samahani naomba msaada nina shida ya vifungashio vya products zangu ambazo ni mafuta ya kujipaka sasa sijajua ni kiwanda gani wanaweza kunitengenezea maana nahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.