Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,269
- 4,494
Habarini wandugu?
Naomba mnisaidie wapi naweza pata msaada wa vifaa ujenzi au pesa katika project yangu ya ufugaji kisasa wa nguruwe. Sehemu ya eneo lilipo n morogoro wilaya ya ifakara karibu na airport. Naweza anza rudisha baada ya miezi Tisa kwan uzalishaji ndo utakuwa umeanza. Eneo linaukubwa wa heka 2.
Kama kuna taasisi au mtu anaeweza kufadhili huu mradi naomba tuwasiliane.
Naomba mnisaidie wapi naweza pata msaada wa vifaa ujenzi au pesa katika project yangu ya ufugaji kisasa wa nguruwe. Sehemu ya eneo lilipo n morogoro wilaya ya ifakara karibu na airport. Naweza anza rudisha baada ya miezi Tisa kwan uzalishaji ndo utakuwa umeanza. Eneo linaukubwa wa heka 2.
Kama kuna taasisi au mtu anaeweza kufadhili huu mradi naomba tuwasiliane.