Mkopo wa vifaa ujezi

Mkopo wa vifaa ujezi

Street Hustler

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
2,269
Reaction score
4,494
Habarini wandugu?

Naomba mnisaidie wapi naweza pata msaada wa vifaa ujenzi au pesa katika project yangu ya ufugaji kisasa wa nguruwe. Sehemu ya eneo lilipo n morogoro wilaya ya ifakara karibu na airport. Naweza anza rudisha baada ya miezi Tisa kwan uzalishaji ndo utakuwa umeanza. Eneo linaukubwa wa heka 2.
Kama kuna taasisi au mtu anaeweza kufadhili huu mradi naomba tuwasiliane.
 
Habarini wandugu?

Naomba mnisaidie wapi naweza pata msaada wa vifaa ujenzi au pesa katika project yangu ya ufugaji kisasa wa nguruwe. Sehemu ya eneo lilipo n morogoro wilaya ya ifakara karibu na airport. Naweza anza rudisha baada ya miezi Tisa kwan uzalishaji ndo utakuwa umeanza. Eneo linaukubwa wa heka 2.
Kama kuna taasisi au mtu anaeweza kufadhili huu mradi naomba tuwasiliane.
Finca
 
Back
Top Bottom