Mafunzo ya ujasriamali

Mafunzo ya ujasriamali

Ya Kale

Member
Joined
Nov 13, 2016
Posts
8
Reaction score
4
Kwa miaka ya hivi karibu swala la kuwekeza limekuwa ni kitu kisichokwepeka kutokana na:
Ukosefu wa ajira
Ajira zisizotabirika
Kupanda kwa gharama za maisha
Kutaka Uhuru binafsi

Kama umekuwa na ndoto za kuwa na miradi yako basi hujachelewa. N&P company tutakufundisha

. *ufugaji wa kuku wa kienyeji*
Kujua aina ya ufugaji inayokufaa
Kuchagua aina bora ya kuku
Kujenga banda bora la kuku
Kuchanganya chakula _Tunakupa kanuni ya kuchanganya mwenyewe_
Kutotolesha mayai kwa kutumia njia za asili
Kulea vifaranga kwa njia za kisasa
Kuyatambua magonjwa makuu ya kuku, na jinsi ya kuyadhibiti
Jinsi ya kutafuta soko


Pia tunafundisha jinsi ya kupata mtaji, ili uweze kuanza ufugaji na jinsi ya kupata soko.

Tunaandika katiba za vikundi kama VICOBA n.k
Tunaandika mchanganuo wa biashara (Business plan)


Kwa waliopo mikoani tunatoa huduma baada ya kukibaliana.

Kwa mawasliano:
0624506170
0716444013

Kerambooneinvestment@gmail.com
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom