Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana Jf, niko katika hatua za mwisho kukamilisha ranchi ya mfano ya ufugaji wa Punda hivyo nahitaji watu serious watakaoweza kuniuzia punda kwa bei nzuri. Nina mpango wa kuanza na punda...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajamvi Habari zenu . kuna kichwa cha thread kinavyojieleza . Naitaji gari aina ya Harrier Old model USED ila iliyo katika decent condition . Nina prefer four cylinders . Namba sio kitu cha...
0 Reactions
3 Replies
915 Views
Wakuu nauza dagaa wa Bukoba wasiokuwa na mchanga kwa bei ya jumla, nina uwezo wa kusupply kiasi chochote atakachokihitaji mteja muda wowote na mahala popote atakapohitaji. Napatikana kwa simu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mbali na kupata burudani, chakula pamoja na vinywaji, mfundaji mashuhuri nchini Bi.Fatma atakuwa mfundaji kwenye Kongamano la Sauti ya Mwanamke Jijini Mwanza, tarehe 06.11.2016 Gold Crest Hotel.Ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wajasiliamali wenzangu, pamekuwa na changamoto nyingi sana kwenye sekta ya usindikaji hasa kwenye upande wa packaging embu njoon tujadili wapi pakupata packages kulingana na matakwa yetu...
1 Reactions
0 Replies
490 Views
Kiwanja kipo chamazi km 1 kutoka barabara kuu. Bei mil 5 kwa ekari
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu,kiwanja kinapatikana kwa 5milion.kipo mkulanga kise magengeni.DAKIKA 5 kutoka barabara kuu kwa miguu .UKUBWA NI 35 kwa 30 Hakijapimwa. KINGINE KINAPATIKANA KWA 12...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Mimi ni mtaalamu niliyebobea kwa masuala ya Google AdSense na Facebook multi poster, Ninatengeneza AdSense account kwa bei Nafuu kabisa. Pia natengeneza mifumo kama vile Facebook multi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Yawezekana wewe ni Mjasiriamali, Mbunifu, Mwanateknolojia, ama Mtatuaji wa changamoto mwenye uraia wa Tanzania ? ambaye unatamani kubadilisha maisha ya watu haswa katika upande wa Afya vijijini na...
0 Reactions
0 Replies
625 Views
Salaam wakuu. Kama heading inavyojieleza hapo nahitaji viti (kununua)vile vya chuma vinavyotumika kwenye shughuli mbali mbali...kama kuna mwenye leads namna au maduka vinapopatikana(dar) nitashukuru
0 Reactions
0 Replies
4K Views
[emoji625]Samsung J5 Mpyaa [emoji625] Tsh 389,999. OFA OFA OFA [emoji457]4G" [emoji328]Kamera ya mbele 5MP [emoji328]Kamera ya nyuma 13MP [emoji332]16GB memory [emoji336]kioo 5.1...
0 Reactions
2 Replies
965 Views
ipo vizuri ram 1gb storage 8gb os lolpop bei 380000 piga 0628353336
0 Reactions
2 Replies
594 Views
Nauza kiwanja changu mil 1 tu. Ukubwa wa kiwanja ni futi 50/100. Kiwanja kipo Ikwiriri, kijiji cha mgomba kitongoji cha jitegemee. Piga 0625667292.
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wadau, samahani kwa yeyote anaejua upatikanaji wa fridge ya cocacola au pepsi anisaidie nmefungua biashara lakin nashindwa kufanya biashara kwa wiredi kwa sabaubu ya FRIDGE. AKSANTE
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Natafuta tajiri anaenunua blue copper ni check 0621003071
0 Reactions
0 Replies
493 Views
Wasiliana nasi 0754 567120 kwa mahitaji ya Mbolea ya Kinyesi Cha Kuku jijini Dar es salaam.
0 Reactions
0 Replies
890 Views
Anaeuza acetone kuanzia lita moja tuwasiliane 0717550291
0 Reactions
0 Replies
665 Views
MILIAGE 89000 Cc 1290 BEI YA KUUZWA 9 MILION..MAONGEZI KIDOGO YAPO GARI HAIDAIWI,IKO FULL KILA IDARA KWA MTU AMBAYE ATAVUTIWA NAYO KUIONA NA KUFANYA BIASHARA TUWASILIANE KUPITIA # HII..0715591141DSM..
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Wapendwa mwenye kujua bei tusaidiane
1 Reactions
15 Replies
7K Views
sony experia c3 ipo vizuri kabisa bei 380000 ram 1gb storage 8gb os lolpop
0 Reactions
2 Replies
536 Views
Back
Top Bottom