Jambooo ndugu zangu
Nahitaji mashine ya selcom kwa mwenyenayo ambae anaiuza
Nipo dar es salaaam
Itapendeza zaidi ukiiitaja bei hapa
Pia unaweza kuni PM
.....Nauza fridge aina ya LG. Limetumika miezi minne tu... Bei ni laki tano tu(500,000)... Nipo Dar es salaam... Nimeambatanisha picha zake kwa chini... Kwa mawasiliano zaidi unaweza kunicheck kwa...
Habari wanajamii forum nyumba inauzwa mbagara sabasaba nyuma ya shule ya st antony. Pia iko karibu na barabara na gari linafika hadi nyumbani.
NYUMBA INASIFA ZIFUATAZO.
- ina umeme
- ina maji...
Nauza modem ya Voda kampuni ya huawei#E303#Ina WI-FI kama pc haina WI-Fi hivo itakuwa msaada juu ya hilo#Original pesa inatakiwa 20,000/= fasta niko dar
Note:Utaenda ku unlock mwenyewe kwa elfu 5...
Unapohitaji kitanda imara cha chuma basi tucheki autoguru workshop. Sisi ndio
Magwiji wenye proven records ya ufundi wa vitanda hapa Tanzania.
Tunakutengenezea vitanda imara vya chuma kwa ajili...
MAGIC MOP (Madekio ya ajabu)
yanapatikana kwangu kwa Shilingi 25 kwa mkopo (Kilimanjaro tu) na unatanguliza 10 elfu 20 cash zinadeki na kukausha maji mara 10 zaidi ya ile ya zamani...
Tunauza mayai kwa jumla
Mikoani tunatuma kwa dar es salaam tunakuletea mzgo had nyumbani..
Wasiliana nasi kwa namba 0679336692..
Kila trey ni shilingi elf sita tu(6000)
Karibuni sana
Mteja kwetu...
,vipi kwa pamoja eneo LA kinyanambo c njiapanda ya kwenda Madibila,eneo linafaa kwa yardi kubwa ya magari au kuweka petrol station eneo limepimwa Na serekali kabisa
Kwa mawasiliano
0655122563
Naamini mu wazima.
1.Nahitaji frem ya biashara maeneo ya Magomeni au Manzese...
2.Chumba cha kupanga pia maeneo hayo hayo.
3.Frem ya biashara Kariakoo
Njoo pm tumalize kazi au nicheki whatsapp...
Kwa wale wote wapenzi wa T-shirts mnakalibishwa kwenye duka letu la mavazi lenye nguo zenye ubora na zisizochuja wala kutanuka pindi unapofua, kuanzia tarehe 14/11/2016 mpaka tarehe 20/11/2016...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.