Badala ya kuhangaika na display kanunue tu mpya.Simu yenyewe ni CONDOR C 6 , ni simu ambayo nzuri niliyokuwa naitumia sasa imeanguka imeweka nyufa display yake. Nawauliza wanaofahamu ni wapi kwa hapa dar nitapata display yake, au simu yenyewe aina hiyo naweza kupata maeneo gani kwa hapa Dar.
Unaweza kuagiziwa nje na ukaipata hapa. Kama huwezi kununua vitu online muone mwl RTCnaomba nifahamisheni jamani kwani tangu ianguke nakosa raha
Yuko humuhumu kwenye jukwaa...we muite tu atakuja.huyo anapatikani wapi, nipe mawasiliano