Pata mkopo kutoka African Capital

Pata mkopo kutoka African Capital

Joined
Oct 3, 2016
Posts
74
Reaction score
23
African capital ni taasisi inayohisika na utoaji wa mikopo kwa watumishi/ wafanyakazi wa serikali. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na malipi ni miezi sita mpaka miaka mitano. Riba mi 18% kwa mwaka. Masharti ni uwe mfanyakzi wa serikali, uwe na kitambulisho cha kazi na cha uraia, bank statement, picha moja na salary slip tatu za miezi ya hivi karibuni. Office yetu ipi posta mpya karibu na NMB HOUSE. Kwa mawasiliano zaidi piga 0653099785
 
African capital ni taasisi inayohisika na utoaji wa mikopo kwa watumishi/ wafanyakazi wa serikali. Ni kwanzia laki mbili mpaka million kumi na malipi ni miezi sita mpaka miaka mitano. Riba mi 18% kwa mwaka. Masharti ni uwe mfanyakzi wa serikali, uwe na kitambulisho cha kazi na cha uraia, bank statement, picha moja na salary slip tatu za miezi ya hivi karibuni. Office yetu ipi posta mpya karibu na NMB HOUSE. Kwa mawasiliano zaidi piga 0653099785
Kwahiyo tusio wafanyakazi wa serikali ndo tunaisoma namba??

Basi kama ni hivyo peleka tangazo lako Habari Leo na Daily News.

Wafanyakazi wa serikali wenyewe hali dhohofu, kila uchao wanatumbuliwa. Subirini nanyi mtaisoma namba soon, ndo mtajua dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu.
 
Back
Top Bottom