Nahitaji maelezo ya kupata Media licence. Nahitaji ili niweze kugonga milango kwa urahisi zaidi na kupata interviews na kufanya public coverages bila kubughudhiwa. Zaidi eneo langu lipo kwenye...
Nauza account ya Google Adsense kwa bei nafuu,ni non hosted account,current balance ni USD 20 na huku kwingine ina zaidi ya USD 10. Address bado haijawa verified lakin barua ya Google itafika kati...
....Nauza fridge aina ya LG limetumika miezi nne tu.. Bei ni shillingi laki tano (500,000)... Nimeambatanisha picture zake kwa chini.. Kwa mawasiliano zaidi unaweza kunicheck kwa number 0713...
HABARI WAKUU.
Ulimwengu wa biashara hauhitaji wataalamu wa kuinstall na kuitumia system.Bali wanahitaji wataalamu wanaoweza kukaa chini na wateja na kuwasikiliza mahitaji yao, kuchambua namna...
Habari gani wakuu? Wale wote wanaojishughulisha na biashara zilizotajwa hapo juu naomba tuwasiliane.
Mimi ni mjasiriamali nilie na base kubwa ya wateja wa biashara hizo na ningependa kuingia...
MSAADA HUU HAPA...
Je unahitaji kununua gari toka Japan au nje ya nchi? Tatizo mda na kutojua nin ufanye ili kupata wauzaji sahihi? Usiwaze tena juu ya hilo.
Mimi ninatoa msaada wakuagiza...
Dell inspirion inauzwa kwa bei rahisi mnooo ya Laki mbili na nusu(250000) ina Hard Disk ya 320GB,2GB Ram, Duo core Processor..piga simu 0676040772 ujipatie sasa...wahi kabla hujawaiwa.
Habari gani wakuu?
Kama kichwa kinavyojieleza,naomba alie na laptop mini isiyo na DVD drive au yoyote inayofanya kazi, ani PM. Offer yangu ni sh. Laki moja.
Asanteni na siku njema.
Shamba la heka 3 linauzwa eneo la kibaha misugusugu, umbali toka barabara kuu ya morogoro ni km 1 na nusu, kuna maji na umeme jirani na shamba,
Bei ni mil 15
Namba ya muhusika 0714595 617
Natafuta phone namba za mafundi wa CCTV Security camera,Electric Fence na Smoke detector kwa ajili yaku tengeneza group.Pls comment your name and number if you are a CCTV technician and want to join
Nina uzoefu wa miaka sita kwenye hiyo industry. Nimefanya kazi kwenye makampuni mbalimbali ndani na nje ya nchi. Nimebobea katika utengenezaji wa websites za kawaida na za simu. Pia natengeneza...
Are you a form six leaver and you are trying to cope with the life after school?
We offer FREE ADVICE and GUIDANCE to help explore your options and see what you can do to earn an honest living...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.