Ina vyumba vitano vya kulala, sebure, sehemu ya kulia chakula na jiko.
Kodi tshs 900,000 kwa mwezi. Kwa mawasiliano piga au ni whatsapp katika namba 0784225000
Kwa mali nyingine tembelea...
Aina ni pine Ipo miti 2500
Bei ni milion 60
Lipo kijiji cha lupembe ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe
Kwa mawasiliano zaidi npigie 0764426929 na whatsap 0742188846
Bei ni tsh laki moja tu Kwa heka
Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea
Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe
Kwa mawasiliano zaidi npigie 0764426929 na whatsap 0742188846...
ONE 2 ONE FOCUS CO.LTD
Build with us on cheap and affordable prices.
'free Theft and fire insurance for 3 years'
'free solar panels'
'payment in 3 instalments 30%/30%/40%' in TZS
'if you need a...
Brandnew IPhone for sale
Original and Full Boxed
16GB Internal Storage
Space grey in colour
Iphone 6.......920,000
Iphone 5s.....560,000
Call 0784780955 or whatsap 0718942311
KWA MARA YA KWANZA TANZANIA
Tsh 789,500
[emoji392]4G
[emoji161]Metal Case
[emoji328]Kamera ya mbele 8MP
[emoji328]Kamera ya nyuma 13MP
[emoji332]16GB memory [emoji336]5.5inches...
Habari wanajamii forum nyumba inauzwa mbagara mwanamtoti Pia iko karibu na barabara na gari linafika hadi nyumbani.
NYUMBA INASIFA ZIFUATAZO.
- ina umeme
- ina maji (maji sio ya chumvi)...
1. FIELDS OF GREEN
ni aina tofauti tofauti ya mbogamboga za majani ambazo zitasaidia kubalance kiwango cha sukari,kujenga damu, na kusaidia pia kwa wale wenye shida ya kutopata choo kwa urahisi...
Habari, sitaandika details nyingi ila tunaweza tukawasiliana kwa maelezo Zaidi kupitia namba ya simu ntakayoiacha hapa.
ki msingi natafuta partner wa kufanya nae biashara, na katika partnership...
Pikipiki tajwa hapo inauzwa na ipo katika hali ya usalama kbisa nkimaanisha n mpya kbsa ina miez 4 haina tatizo lolote lile imetembea km 10,522 matairi bado ni mapya kbsaa,kingine kikubwa kuhus...
Waheshimiwa naomba mwongozo nataka kununua machine ya kutengeneza bisi hivyo nataka kujua
√Changamoto zake
√Faida yake
√ Maintenance yake ikoje
Naomba msaada
Kuna kiwanja kinauzwa kipo Mbezi Msakuzi, mazingira ni tambarare, umeme na maji ya Uhakika na yapo.
Urefu 40 * 20
40*16
Bei poa kulingana na hali ilivyo ya maisha
Mil. 9
Mawasiliano...
Nauza Samsung Galaxy A5 clean..
No single scratch..
One week used..
Natoa simu tuu sitoi accessories ingine...
Bei 400,000..
Seriously buyers contact me 0625690081
Nina kiwanja changu kiko Mwanza Nyegezi,malimbe nyuma kidogo ya St.Augustine Univerisity kina 20*30 mtrs kimepimwa ila sijafuatilia hati.Any serious buyer anaweza kuni inbox au kunipigia kwa 0752...
Habarini za Muda huu wana JF.
Kwa majina naitwa Hamis Mushi. Mkazi wa Moshi Mkoani kilimanjaro Tanzania.
Napenda kuuandika uzi hui kwa suala la kushirikishana biashara ya mtandao ambayo ina...
Nyumba kubwa yenye vyumba 2 vya kulala inauzwa Mbezi Luis,kimoja ni master na kimoja ni cha kawaida,ina sitting room,dinning,jiko,choo na bafu ndani,pia ina garage ya gari iliounganika na...
Wakuu wa nchi habari za mihangaiko .Tuna machine za kuchimba visima vya maji .tunatumia machine za kisasa kwa anayehitaji huduma hii please tuwasiliane please.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.