Jamani anahitaji kuandikiwa project proposal, business plan, kufanyiwa monitoring and evaluation tuwasiliane kupitia 0684310382 , nipo dar es salaam-ukonga
Njoo ujikamatie passo...
Haidaiwi
Imetembea km 100,000
Piston 4
Gari ni nzima kila idara mpaka ac.
Bei ni 6.2 mln
Kwa mawasiliano piga # 0715591141....
DSM
Wasalam....
Pc yangu haina port ya VGA wala HDMI bali ina D- Port (Display Port). Sasa ninataka kuunga tv yangu na tv flat sreen ili niweze kupata live streeming.
Ninatafuta hii cable ya D- Port...
Habari,natafuta wakulima wanaolima mazao haya,maharage,njegere,mahindi,mananasi na Michele niwasaidie namna ya kupata masoko makubwa ya mazao yao,wawe Tayari hayo mazao yapo shambani bado...
Habari wana Jf, niko katika hatua za mwisho kukamilisha ranchi ya mfano ya ufugaji wa Punda hivyo nahitaji watu serious watakaoweza kuniuzia punda kwa bei nzuri.
Nina mpango wa kuanza na punda...
Wanajamvi Habari zenu .
kuna kichwa cha thread kinavyojieleza .
Naitaji gari aina ya Harrier Old model USED ila iliyo katika decent condition . Nina prefer four cylinders .
Namba sio kitu cha...
Wakuu nauza dagaa wa Bukoba wasiokuwa na mchanga kwa bei ya jumla, nina uwezo wa kusupply kiasi chochote atakachokihitaji mteja muda wowote na mahala popote atakapohitaji.
Napatikana kwa simu...
Mbali na kupata burudani, chakula pamoja na vinywaji, mfundaji mashuhuri nchini Bi.Fatma atakuwa mfundaji kwenye Kongamano la Sauti ya Mwanamke Jijini Mwanza, tarehe 06.11.2016 Gold Crest Hotel.Ni...
Habari wajasiliamali wenzangu, pamekuwa na changamoto nyingi sana kwenye sekta ya usindikaji hasa kwenye upande wa packaging embu njoon tujadili wapi pakupata packages kulingana na matakwa yetu...
Rejea kichwa cha habari hapo juu,kiwanja kinapatikana kwa 5milion.kipo mkulanga kise magengeni.DAKIKA 5 kutoka barabara kuu kwa miguu .UKUBWA NI 35 kwa 30 Hakijapimwa.
KINGINE KINAPATIKANA KWA 12...
Wakuu Mimi ni mtaalamu niliyebobea kwa masuala ya Google AdSense na Facebook multi poster, Ninatengeneza AdSense account kwa bei Nafuu kabisa.
Pia natengeneza mifumo kama vile Facebook multi...
Yawezekana wewe ni Mjasiriamali, Mbunifu, Mwanateknolojia, ama Mtatuaji wa changamoto mwenye uraia wa Tanzania ? ambaye unatamani kubadilisha maisha ya watu haswa katika upande wa Afya vijijini na...
Salaam wakuu.
Kama heading inavyojieleza hapo nahitaji viti (kununua)vile vya chuma vinavyotumika kwenye shughuli mbali mbali...kama kuna mwenye leads namna au maduka vinapopatikana(dar) nitashukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.