Kanye2016
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 3,019
- 3,193
Kuna mnada utakao fanyika jumamosi pale sinza utaohusishwa na uuzaji wa vitu vya ubalozi wa Marekani vikiwemo magari, furniture na vitu vingine vingi. Mnada utafanywa na Universal Auction Centre waliopo Sinza,lion street. Mnada utaanza saa nne asubuhi, kwa wale wenzangu na mimi wakusubiri vya mnada twendeni tukajichukulie vitu.