Habarini za leo wanajamii forums, nina kiwanda cha kukamua mafuta ya Alizeti ni kipya na kipo kwenye jengo jipya kabisa katika kijiji cha shelui wilaya ya Iramba mkoani Singida ambapo ni maarufu...
Kwa wale wa mabanda ya video show na video game.. nina tv chogo nch. 21 aina ya panasonic pamoja na deki ya singsung hd 1 naviuza kwa bei ya kitonga....110k tu kwa vyote, ukitaka kimoja pia...
Habari wadau nilikua nataka kujua gharama za vyumba vya bei nafuu kwa mwezi huko bellville, capetown SA. Maana nina safari ya kibiashara na nitakaa huko takribani mwezi mmoja kwa yeyote anaefahamu...
Habarini za asubuhi wanajamii forums, nina kiwanda cha alizeti machine mpya kabisa na jengo jipya kabisa lipo shelui wilayani Iramba mkoa wa singida, kiwanda kipo katika miundombinu mizuri pembeni...
Tunauza pilipili hoho kwa jumla na rejareja.
Shamba lipo Mkuranga, tuna uhakika wa kuvuna magunia 20 yenye kilo 100 kila wiki.
Unaweza kuletewa mahali ulipo au ukanunulia shambani. Pia kama una...
Tunauza pilipili hoho kwa jumla na rejareja.
Shamba lipo Mkuranga, tuna uhakika wa kuvuna magunia 20 yenye kilo 100 kila wiki.
Unaweza kuletewa mahali ulipo au ukanunulia shambani. Pia kama una...
Kwa mkazi wa Arusha anayehitaji nymba ya kupanga maeneo ya Engosheratoni,
Vyumba viwili,jiko na choo ni vya nje,
Umeme ni wa solar,Maji yapo karibu tu na hapo nyumbani,
Bei ni maelewano...
Nyumba ya vyumba viwili vya kulala kimoja master, sebule na jiko inauzwa salasala, ipo kwenye kiwanja chenye ukubwa wa 20m x 20m, haina hati, bei ni Tshs. 30,000,000/= kwa anayehitaji anaweza...
Nyumba ya vyumba viwili, kimoja masta, jiko na sebule inauzwa salasala, imo kwenye kliwanja chenye ukubwa wa 20m x 20m, haina hati, bei Tshs. 30,000,000/- kama unahitaji tafadhali piga simu namba...