Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza ubuyu wa embe ambazo zimekaushwa na kupikwa kama ubuyu ni mtam sana kwa anaehitaj 0654695943 Tabora. Jumla na rejareja kwa bei nafuu sana 1000 kwa 500
6 Reactions
73 Replies
13K Views
Kwa mikoa ya Mwanza, Geita, pia Kahama, Nzega n.k Kama unataka senene wailokaangwa kwa jumla ni PM Nauza kuanzia nusu ndoo (lita10), ndoo nzima (Lita 20) na kuendelea Bei nusu ndoo ni Tsh...
0 Reactions
2 Replies
790 Views
Tunatoa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali dar es salaam kwanzia laki mbili mpaka million kumi na tunanunua madeni. Huitaji dhamana wala mdhamini, riba ni 18% kwa mwaka na malipo ni ndani ya miezi...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Habari? Natafuta frem Kariakoo mtaa wa Congo,yeyote anayeweza kusaidia kupatikana tuwasiliane pm haraka...ukifanikisha utalipwa posho. Asante
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jaman nipo mwanza nauliza mwenye kujua bei ya mashine ya kutengenezea juice hasa kwenye mgahawa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shamba Lina Ukubwa Wa Ekari Tano Na Nusu. Lipo Msata Mita Chache Kutoka Barabara Iendayo Tanga Na Pia Mita Chache Kutoka Barabara Iendayo Bagamoyo. Ni Eneo Zuri Hasa Kwa Wenye Lengo La Uwekezaji...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Gari Kluger new model ya 2012 inauzwa ni namba DEF picha hiyo ni kabla haijawekwa namba bei 60m maongezi yapo dalali hatakiwi ukitaka tuwasiliane ni PM
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari,wakuu!, kama unahitaji kuwa na library ya vitabu nyumbani kwako,hii ni Taarifa nzuri kwako!,ni jambo jema kwa mtu anaependa na kutambua umuhimu wa kusoma nyumbani kwake yeye na familia...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
PICHA: HOTELI MPYA TANZANIA, WATEJA HULIPA SHILINGI MILIONI 22 KWA USIKU MMOJA. BURUDANI - AUGUST 29, 2016- Hoteli hii iko katika kisiwa cha Thanda kusini mwa Tanzania. Ina vyumba 5 vya kulala...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Kiwanja UJAZO 645sqm kina Hati kipo Mbweni Mpiji mahali pazuri,maji umeme upo bei,35 m ,majadiliano yapo wahi kipo KAribu na shule ya kimataifa
1 Reactions
2 Replies
828 Views
0718950680
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Magauni ya kukodi ama kuvaa kwenye sherehe yanauzwa bei nafuu sana.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Pata Ramani Bora za Nyumbani Kwa Being nafuu 150000/=fixed 0654751075. Or 0719208160 email:jirini626@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina SIMU Tecno C8 Ipo katka hali nzuri naiuza Tshs 230000 kama upo serious ni PM namba yako ntakupigia
0 Reactions
0 Replies
446 Views
Wakuu naomba kujua bei ili tufanye biashara ya korosho kwa size tajwa hapo. Njoo pm ukiwa unahisika na uuzwaji wa hilo zao na specification hyo.
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Wakuu nimejichanga kidgo niweze kupata hela ya kula huku nakusanya mtaji kwa ajili ya kikubwa zaidi. Ni biashara ya kukaanga na kuuza chipsi barabarani. Kuna dogo nimempata kwa ajili ya...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Jumba hilo lipo Mbezi Juu si mbali toka barabara iendayo Bagamoyo. Jumba halijakamilika. Upande wa mashariki wa jengo hilo una nyumba tatu ambapo kila nyumba ina chumba cha kulala chenye choo...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Chumba cha kupanga kinahitajika haraka,kiwe maeneo ya Kigamboni,gharama idizidi elf 50 pia kiwe na choo cha ndani
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wadau samahan kwa usumbufu tafadhali mwenye game ya gta V ya pc tuwasiliane nashida nayo sana sharti awe anapatikana morogoro Ahsanten
1 Reactions
6 Replies
925 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…