Salaam wadau..nauza nyumba ipo Makumbusho stand kwa nyuma karibu kabisa na hotel ya Mesuma.Ina eneo la kutosha sana.Bei ni Mil.160 maongezi yapo.In hati miliki. Kwa mawasiliano...
jumla ya vyumba ni vinne ,master Mbili
+Sebule+Dining Room+jiko+stoo
+tank maji +fensi na Parking
Ipo mikadi kigamboni
Bei: Tsh. Laki 5 kwa mwezi (malipo ni mwaka)
Dalali yangu ni mwezi mmoja...
Nauza laptop aina ya Acer aspire,ina inch 14,inatumia 8.1 window,Intel celeron 2ghz,ina 2GB ram na 500GD HDD
Ni mpya iliyotumika wiki tatu tu,ni nyepesi kubebeka ina uzito mdogo hata kwenye mkoba...
Habar za humu wadau. Ninauza bajaj kwa bei nafuu. bajaji imetumika kwa mwaka 1 tu. Sifa zake:
Aina ya bajaji ni 4stroke
Imetembea 25800km
Bei 3.5milion
Ina vibali vyote pamoja na bima.
kwa...
Wadau napenda kuwatangazia kuwa Sasa bei zetu ni za chini kabisa, na hii ni kwa ajili ya msimamu huu wa sikuu.Huduma zetu ni kama ifuatavyo
1. Website & Blog designing
2.Forums and Ecommerce...
Salaam wana Jamii.
Tafadhali natafuta mtaalamu wa kutengeneza matangazo kwa bei nafuu. Tafadhali kupata hii kazi lazima uwe na kazi zako ambazo zinaonekana pia unatakiwa kuwa na ujuzi wa juu...
Nilinunua milioni moja cash mimi naiuza shilingi laki7 kwa sababu ya matatizo. Ni ya kampuni ya sharp, ina drop tano za ndani. Ni mpya kabisa ipo kwenye box lake.
Napatikana Dar - Mbagala...
Huu ni ukweli ambo wengi bado hawajaujua, katika uhalisia wa mambo interview haiishi, huwa inaendelea hadi unapostaafu.
Interview ziko za namna kuu mbili ambazo walimu hawakuwahi kutufundisha...
Jipatie mapazia bomba kwa bei nzuri unaletew Ulipo na tunakusauri kulingana na hali ya sebule yako ilivyo na vitu
Kwa full set ni 120,000
Kwa pic moja moja 45000
Piga 0656436662
Insta grm...
Ninauza vitabu vya Form One na Form Two kwa bei nafuu. Napatikana Dar es Salaam, Tegeta......simu no. 0778 101177 na 0757 393675. Vitabu nilivyo navyo ni:
Civics for Secondary Schools ( OXFORD) -...