Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunasafisha masofa pamoja na sity za magari, makpti(mazuria) Tunakufata ulipo(nyumbani, officine) kukufanyia kazi yako, kwamawasiliano call, 0655556426 ata whathp👉
4 Reactions
3 Replies
337 Views
Nauza hii White Board unaweza kutumia kufundishia, kupangilia mipango yako, Progress, To do list nk Nakupa Makers zake na ufutio Bei 60,000 Tzs
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna mzigo wangu wa maharagwe ninazo Kg 600 nauza kwa bei ya Tsh 1800. Usafiri Utalipia mzigo Upo Kasulu Kigoma. Ni maharagwe mazuri yaliyovunwa Mwaka huu.
0 Reactions
14 Replies
812 Views
Follow this link to join my WhatsApp group: MAFIA ISLAND FESTIVAL Hili ni kundi maalumu kwa ajili ya kuunga mkono jitihada za Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan za kukuza utalii na uwekezaji nchini...
1 Reactions
0 Replies
403 Views
Natanguliza shukrani za dhati kwa waasisi na wadau wote wa ukurasa huu. Tunatengeneza oda mbalimbali za unifoms za kufanyia kazi. Naomba kuwakaribisha sana kwa oda mbalimbali, bei zetu ni...
0 Reactions
0 Replies
307 Views
Tunauza nguo za kike Nguo nzuri, quality nzuri Tunapatikana Mwanza Kirumba 0699728254 watsap/call Mikoani natuma Karibu upendeze.
10 Reactions
68 Replies
2K Views
Habari wakuu. Natafuta chupa za plastik hizi za kijani kubwa na ndogo,naomba maelekezo ya kiwanda maana nahitaji kwa wingi na biashara endelevu. Piga 0713 039 875
0 Reactions
3 Replies
531 Views
Ulikuwa ni wakati mzuri kupata nafasi ya kutembelea Hifadhi ya Taifa Ruaha (Hifadhi ya Pili kwa ukubwa Tanzania)inayopatikana ndani ya mji wa Iringa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Uhasibu...
3 Reactions
4 Replies
445 Views
Wadau nitaupata wapi mzani mkubwa used wa kupimia nafaka let say kg 200 kwa pamoja
0 Reactions
0 Replies
285 Views
Karibu kwenye safari ya kusimumua ya kutembelea fukwe za, The Horizon ndani ya mji wa Bagamoyo ikiambatana na kusherehekea sikukuu ya Christmas, ikitukutanisha wadau kutoka kona mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
308 Views
Kwa mahitaji ya huduma ya utaalamu wa mashine za kutotoresha vifaranga za aina zote *Kuunda *Kuboresha *Kurekebisha *Ushauri Piga 0785165877
0 Reactions
14 Replies
1K Views
MAHITAJI YA BIDHAA ZA UBORA MADUKANI! Ndugu Mfanyabiashara, Tunapenda kukuletea bidhaa bora kabisa kwa ajili ya duka lako. Tunazalisha na kusambaza bidhaa zifuatazo: Mafuta ya Nywele ya Asili...
0 Reactions
1 Replies
521 Views
Jiko ni jipya nimelitumia mizi2 tu.. na mtungi una gesi kidogo ya kuanzia. Ni dharura (nasafri mkoani kwa dharura) naomba elf70 tu! Kama upo serious hata ukipungukiwa kidogo ilimradi initoshe...
0 Reactions
4 Replies
710 Views
Habarini wana jukwaa. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Nimejichanga changa, mungu kasaidia nimepata kitu kidogo, nimeamua ninunue usafiri kurahisisha shughuli zangu. Natamani nipate gari...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Nashida na haka kasimu nipo dar mwenye nacho au anaeuza tukutane budget yangu ndogo dondosha offer PM au hapa nitakufata PM
1 Reactions
6 Replies
479 Views
Mitsubish Outlander INAUZWA, Location Mbeya mjini Year: 2011, CcC 1990 Color: Dark Blue,7 seats,Good condition Full Documents .Bei Tsh 16.8M (maongezi yapo) Mawasiliano📞0747518207
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Mashine ya kukata viazi vya chips Ina meno saizi nne tofauti. Nakupa na meza yake. Bei 270000Tshs Nipigie 0625697394
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunauza na kusambaza kisimbuzi Cha Azamtv, DSTV, Startimes na Zuku. Na accessories mbalimbali: #Remote control, #Antenna Cable #HDMI ( mita moja Hadi 20) #LNB #TVstand, n.k Pia tunatoa huduma ya...
0 Reactions
0 Replies
481 Views
Wakuu wa JF! Nani amewahi kutumia hiki kinywaji aina ya KOMBUCHA atupe uzoefu wake
9 Reactions
39 Replies
9K Views
Unaweza kutana na picha nzuri ya nyumba na ukapenda nyumba utakayojenga ifananie hivyo hivyo. Kwa gharama ya Tsh 50,000 nakuchorea ramani na makadirio ambavyo vitaendana na muundo wa hio picha ya...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom