Unahitaji Sumaku kwa matumizi gani? na pole gani -ve au +ve au zote na kiasi gani? majibu ya hayo ninaweza kukusaidia kupata!Nitashukuru kwa atakayenijulisha nilichoandika hapo juu.
aisee! labda utengeneze mwenyewe, ngoja physicians waje wakuelekeze, au utafute spika mbovu kuna kijichuma chenye sumaku, teh teh teh!
Physician ni daktari, daktari na sumaku wapi na wapi. Najua ulitaka kumaanisha physicists, take it easy...
thanks mkuu, teh teh teh!
Unahitaji Sumaku kwa matumizi gani? na pole gani -ve au +ve au zote na kiasi gani? majibu ya hayo ninaweza kukusaidia kupata!
Asante Kijakazi. Nafahamu kuwa kila sumaku ina S na N poles; kwa -ve na +ve, kwa kweli sifahamu hizo terminologies. Ningependa kupata disk-shaped magnets zenye diameter kati ya 1 na 2 cm, na zote ziwe za size moja. Idadi ni 40 au zaidi.
Hiyo -ve au +ve ni kifupi cha chanya (+) na Hasi (-) au hiyo N na S kama ulivyoeleza! Sasa wewe naomba kama unaweza niambie unahitaji kwa matumizi gani kwa maana Sumaku, inategemea sana unatumia kwa ajili gani na hizo Chanya (+) au Hasi (-) ni muhimu sana hasa ikija kwenye matumizi kwa mfano unaweza kuwa unahitaji labda Sumaku ya kuvutia kitu fulani ambacho kina chaji Chanya (+) tu na ukachukua zote za Chanya (+) maana yake ni kwamba hazitavuta bali zitasukuma hicho kitu huo nimekupa ni mfano tu, kama inakutatiza jaribu tu kuniambia unahitaji kwa matumizi gani halafu nitakusaidia/shauri!
Pouwa sasa ngoja nitarudi kwako baada ya kazi leo jioni, halafu tuongee biashara au vipi?Nafahamu hayo yote isipokuwa matumizi ya hizo istilahi negative na positive ktk sumaku. Anyway, nahitaji kwa ajili ya kutengeneza some specialized electric motor.
teh teh teeh mkuu unaambiwa kiswahili ndio lugha, kingledha ni swagga tu!Physician ni daktari, daktari na sumaku wapi na wapi. Najua ulitaka kumaanisha physicists, take it easy...
Mkuu, mbona unakomalia jambo usilolijua? Hakuna hasi na chanya kwenye sumaku, kuna N na S. Sumaku sio umeme, ila umeme unaweza kutengeneza usumaku, na sumaku inaweza ikawa chanzo cha umeme.Hiyo -ve au +ve ni kifupi cha chanya (+) na Hasi (-) au hiyo N na S kama ulivyoeleza! Sasa wewe naomba kama unaweza niambie unahitaji kwa matumizi gani kwa maana Sumaku, inategemea sana unatumia kwa ajili gani na hizo Chanya (+) au Hasi (-) ni muhimu sana hasa ikija kwenye matumizi kwa mfano unaweza kuwa unahitaji labda Sumaku ya kuvutia kitu fulani ambacho kina chaji Chanya (+) tu na ukachukua zote za Chanya (+) maana yake ni kwamba hazitavuta bali zitasukuma hicho kitu huo nimekupa ni mfano tu, kama inakutatiza jaribu tu kuniambia unahitaji kwa matumizi gani halafu nitakusaidia/shauri!
Ungeanza kuniuliza kwanza badala kuanza na kashfa! Anyway sina haja ya kuanza kubishana na wewe hapa, halafu isitoshe sipendi kashfa napenda kuelimishana kwa hiyo kama unaona N and P hazina uhusiano wowote na +ve and -ve tukubali kutofautiana hili ni somo refu!Mkuu, mbona unakomalia jambo usilolijua? Hakuna hasi na chanya kwenye sumaku, kuna N na S. Sumaku sio umeme, ila umeme unaweza kutengeneza usumaku, na sumaku inaweza ikawa chanzo cha umeme.
"When magnetic field cuts a conductor, or the conductor cuts magnetic field, emf is induced in the conductor"
Kwa unachotaka kwa kuzipata bongo itakuwa ngumu mkuu ...
ila kama ni abroad au una jamaa abroad ni za kumwaga as watu wanatumia sana magnets kwenye crafts.., cheki ebay, amazon to name just a few.., au specialized online websites dealing with magnets (all you need is a credit card)
cheki links hizo:-
Industrial Magnetics, Inc. Magnets for Sale
Craft Magnets, Disc Magnets & Flexible Magnets from Magnet Shop! - Magnet Shop
By the way kama unataka kutengeneza a perpetual machine au motor itakayokuwa inajiendasha yenyewe kwa magnetism bila kupata any energy input from the outside source.... (ngoja tu nikupunguzie some hard work and disappointment at the end of sleepless nights and hard work).., It wont work.. (anyway it always pays to experiment at the end of the day you would have known another thing which is impossible)