Unaweza kutana na picha nzuri ya nyumba na ukapenda nyumba utakayojenga ifananie hivyo hivyo.
Kwa gharama ya Tsh 50,000 nakuchorea ramani na makadirio ambavyo vitaendana na muundo wa hio picha ya...
Wakuu habari
Natafuta power tiller la kukodi, Nina eneo langu dogo tu la kulima bustani , kama Kuna mtu ana power tiller naomba anikodishie
Eneo la kazi ni Kimara, dar es salaam
0616274277
Habari wana JF? natafuta mtu anaejua kihadzabe au aliokaribu na jamii ya kihadzabe nina kazi ya kutafsiri kutoka kihadzabe kuja kiswahili.
naomba tuwasiliane 0759702766
Bajaji zinauzwa kwa zipo Dar
1. No DRV....... Bado ipo bei 4m
2. No DCT... ... Sold
3. No DBN...... Bado ipo bei 3m
4 No DCK...... Bei 3.4m
5. No DPY........ Bei 4m
Zote ziko barabarani Dar
Call...
ResearchLink International is a registered NGO in Tanzania with the aim of helping young Tanzanian professionals advance their careers. For those wanting to apply for scholarships or grants for...
Nyumba na Kiwanja Vinauzwa – Sinza Kijiweni
Nyumba na kiwanja chake vinapatikana Sinza Kijiweni, karibu kabisa na barabara ya lami.
Ukubwa wa eneo ni sqm 338 na hati ipo tayari,
unachohitaji...
Ocean View Plot for Sale in Salasala! 🌊🌟
📍 Location: Salasala mwisho wa rami, situated on a hill with breathtaking ocean views.
🏡 Perfect for building your dream home with a luxurious pergola...
Nauza flash mpya zenye uwezo wa kuhamisha na kuhifadhi mafaili kutoka kwenye simu kwenda kwenye computer na kutoka kwenye computer kwenda kwenye simu karibuni zipo gb 4 @1000na gb 16 @12000
Habari wadau .
Kwa mwenye mali tajwa hapo juu naomba tuwasiliane. Iwe inafanya kazi au haifanyi bado Nina uhitaji nayo.
Pia radio calls za kwenye magari nazo pia nahitaji pamoja na antena zake...
Habari boss wangu
Chukua muda wako kusoma huu uzi
Leo nakuletea magodoro kampuni mpya na kitu kipya kwenye soko
Hizi godoro zimetengenezwa na fiber na sio sponchi
Fiber ni material kama nyuzi...
Wazee sina hiyana
Nashukuru kwa mirejesho n kukuwa kwa network. Siwez kuwaacha nyuma hata kidogo... Tuko pamoja
Raba hii hapo chini bei ya jumla ni elf 40 zinakaa pea 24, ukitaka kuanzia tano ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.