Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Unaweza kutana na picha nzuri ya nyumba na ukapenda nyumba utakayojenga ifananie hivyo hivyo. Kwa gharama ya Tsh 50,000 nakuchorea ramani na makadirio ambavyo vitaendana na muundo wa hio picha ya...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Nauza Tv ya Hisense Smart Tv inch 40 kwa 500,000. Nakupa na Box lake kabisa. HAINA TATIZO LOLOTE. Napatikana Dar es Salaam.
1 Reactions
5 Replies
891 Views
Wakuu habari Natafuta power tiller la kukodi, Nina eneo langu dogo tu la kulima bustani , kama Kuna mtu ana power tiller naomba anikodishie Eneo la kazi ni Kimara, dar es salaam 0616274277
2 Reactions
0 Replies
319 Views
HP laptop 430 g6 storage 512 GB Ram 8 GB processor Intel(R) Celeron(R) 3205U @ 1.50GHz 1.50 GHz bei 290,000, namba yangu 0685068828
1 Reactions
0 Replies
314 Views
Habari wana JF? natafuta mtu anaejua kihadzabe au aliokaribu na jamii ya kihadzabe nina kazi ya kutafsiri kutoka kihadzabe kuja kiswahili. naomba tuwasiliane 0759702766
1 Reactions
2 Replies
385 Views
Wakuu, ni duka gani maarufu linalouza simu za nokia (smartphones) zilizo OG?
0 Reactions
1 Replies
484 Views
Shamba linauzwa linauzwa lipo DODOMA Kijiji cha Nzasa ukubwa heka 5 bei million 1.8 kwa kila heka. 0684268422
0 Reactions
0 Replies
408 Views
APARTMENT FOR SALES 𝖨𝖪𝖮 ~ 𝖣𝖠𝖱 𝖤𝖲 𝖲𝖠𝖫𝖠𝖠𝖬𝖳𝗓 𝖬𝖠𝖧𝖠LI - MBWENI MPIJI PRICE - 1.5 BILION MAONGEZI YAPO ____________________ UKUBWA KIWANJA CHAKE ~ SQM 1200 UMILIKI ~ INA HATI ( TITLE DEED )...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Bajaji zinauzwa kwa zipo Dar 1. No DRV....... Bado ipo bei 4m 2. No DCT... ... Sold 3. No DBN...... Bado ipo bei 3m 4 No DCK...... Bei 3.4m 5. No DPY........ Bei 4m Zote ziko barabarani Dar Call...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
ResearchLink International is a registered NGO in Tanzania with the aim of helping young Tanzanian professionals advance their careers. For those wanting to apply for scholarships or grants for...
1 Reactions
1 Replies
8K Views
Nyumba na Kiwanja Vinauzwa – Sinza Kijiweni Nyumba na kiwanja chake vinapatikana Sinza Kijiweni, karibu kabisa na barabara ya lami. Ukubwa wa eneo ni sqm 338 na hati ipo tayari, unachohitaji...
3 Reactions
13 Replies
914 Views
Ocean View Plot for Sale in Salasala! 🌊🌟 📍 Location: Salasala mwisho wa rami, situated on a hill with breathtaking ocean views. 🏡 Perfect for building your dream home with a luxurious pergola...
0 Reactions
0 Replies
277 Views
Nauza flash mpya zenye uwezo wa kuhamisha na kuhifadhi mafaili kutoka kwenye simu kwenda kwenye computer na kutoka kwenye computer kwenda kwenye simu karibuni zipo gb 4 @1000na gb 16 @12000
0 Reactions
4 Replies
514 Views
SOLD
0 Reactions
10 Replies
716 Views
Habari wadau . Kwa mwenye mali tajwa hapo juu naomba tuwasiliane. Iwe inafanya kazi au haifanyi bado Nina uhitaji nayo. Pia radio calls za kwenye magari nazo pia nahitaji pamoja na antena zake...
0 Reactions
9 Replies
585 Views
Habari boss wangu Chukua muda wako kusoma huu uzi Leo nakuletea magodoro kampuni mpya na kitu kipya kwenye soko Hizi godoro zimetengenezwa na fiber na sio sponchi Fiber ni material kama nyuzi...
2 Reactions
6 Replies
964 Views
chuma hiki hapa,mpya📌 DELL LATITUDE 3380 14inch Display, 7th Generation Intel Core i5, 2.7GHz RAM 8Gb DDR4 Storage 500Gb HDD Battery Health: 100% 6 Month Warranty *Price 520,000/- Phone:0712793505
0 Reactions
0 Replies
332 Views
Nina madini Aina ya ruby lakini Ni caption natafuta mnunuzi
0 Reactions
1 Replies
406 Views
Wazee sina hiyana Nashukuru kwa mirejesho n kukuwa kwa network. Siwez kuwaacha nyuma hata kidogo... Tuko pamoja Raba hii hapo chini bei ya jumla ni elf 40 zinakaa pea 24, ukitaka kuanzia tano ni...
18 Reactions
135 Replies
35K Views
Gari la mizigo inauzwa. Imetengenezwa 1997. Engine Capacity 2700cc Tani. 2.5 Tatizo ni dogo, gari linahitaji Oil Pump tu. Bei Tsh 5.2million Maelewano Yapo. Gari lipo Tegeta Kibaoni.. Piga simu...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Back
Top Bottom