Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tv zenye hadhi ya kukaa ukutani kwasasa ni angalau inch 43 nakuendelea ila 55-75 zinavutia zaidi. Tusiharibu kuta bila sababu za msingi. Haya wale wadau wa makobazi, misuli na tende nimesha...
23 Reactions
58 Replies
2K Views
Nafanya Training 1 Advanced excel 2: Quick Books 3: Tally ERP 9 4: XERO accounting software 5: File taxes returns 6: Marketing soft skills and interview Tips Nina uzoefu, kwa mawasiliano zaidi...
1 Reactions
1 Replies
325 Views
Chuo Kikuu cha Kiislam Morogoro ndio chuo pekee nchini Chenye kutoa Shahada za Sharia (Sharia Law). Tuwapongeze kwa hilo. Tayari MUM kina Campus Zanzibar na punde kitafungua campus Rufiji, Kondoa...
4 Reactions
117 Replies
6K Views
Hi everyone, I’ll be moving to Arusha from Dar es Salaam for work in the coffee industry and will need a place to stay for two months. I’m looking for a 1-bedroom furnished house that meets the...
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Nyumba ipo wazi kinyerezi mbuyuni, vyumba vitatu, kimojawapo ni master bedroom, public toilet ipo, jiko la wazi na sebule, ndani ya ukuta kuna nyumba 7, eneo lina utulivu ndani. Kodi ni 450,000...
3 Reactions
12 Replies
906 Views
Habari, nauza kiwanja Dodoma kipo eneo la michese square meter 520, hati ipo,bei mil. 15 kwa maelezo zaidi nitafute.
1 Reactions
1 Replies
386 Views
Wakuu niko na iPhone 11 plain hapa naiuza, 128gb, Face id bado ipo Battery health now inasoma 73% Ina crake kidogo kioo cha nyuma,. Kama unahitaji hit my dm Asap! Kama uko Songea pia itapendeza...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
TANZANIA ELECTRICAL,ELECTRONICS AND ICT SOLUTION ONLINE Tunakaribisha watu binafsi katika kupokea mafunzo ya Electrical,Electronics na ICT kwa njia ya mtandao(ONLINE), Mafunzo yetu yana lengo la...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Je, unahitaji kuwekeza kwenye ufugaji wa nyuki na hujui pa kuanzia? Karibu upate mafunzo ya ufugaji nyuki kibiashara.
1 Reactions
0 Replies
293 Views
Eneo linafaa kwa Ufugaji,mto unapita jirani,kilimo cha kumwagilia. Lakini pia kilimo cha mihogo,machungwa na Maembe. Nicheki 0782971984
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Wakuu naamini mpo salama, Kwa anayehitaji kununua usafiri wake, nipo na Nissan Teana nzuri na nzima, nauza. Gari limesajiliwa Tanzania kwa usajili wa DMK DETAILS Make Nissan Model Teana...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Mazungumzo yapo changamoto ni umeme tu, mwenye uhitaki karibu inbox
0 Reactions
0 Replies
193 Views
* TRJ 150. Brown color. 2690cc.Petrol. Automatic. Number T...DDE. In good condition. Price 90mil Mawasiliano 0784225000
1 Reactions
1 Replies
445 Views
habari zenu wakuu nina shida ya chumba cha 25,000 dar es salaam,nipo kwenye changamoto kidogo hivyo siwez kupitia kwa madalali maana gharama zitaongezeka hivyo kwa mwenye kuweza kuniunganisha na...
2 Reactions
5 Replies
378 Views
Taa hii inatumika nje Yani ndani ya fensi ya Nyumba,nje ya Nyumba au barabarani. Taa hii inatumia mionzi ya jua ili kujipatia chaji na pia kuchani battery za CCTV camera. Taa hii inafanya KAZI...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Wadau, naombeni ushauri hukusu ubora wa mbao za huu mti uitwao Mtiki katika kitengeneza milango ikilinganishwa na mninga au mkongo. Kuna mdau ananishawishi kwamba wenyewe ndio the best, ingawa...
0 Reactions
28 Replies
16K Views
.. habari za majukumu wakuu,nahitaji hizi plastic mold kwaajili ya kufyatulia paving,msaada wa mwenye kufahamu zinapopatikana kwa hapa dar na bei zake wakuu,nahitaji sana
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom