Habari wapenda urembo na utanashati. Nauza perfume za kupima au kuchanganywa, kama Kuna perfume unaipenda na uwezi kuimudu bei basi sisi tunakuuzia kwakukupimia kwa bei rahisi kabisa, kama...
Hello wana jamvi kama unataka kuongeza kipato chako nakukaribisha machine za kukamua juisi ya miwa inazipata kwetu
Sifa zake inakamua na kuchuja yenyewe ni machine kutoka China
Pia ulaji wa umeme...
Toyota passo inauzwa kwa bei poa
Engine cc 990
Year made 2004
Rangi: Grey
iko full AC yani hamna tabu
Bei: milioni 2 na laki 6 tu.
Gari iko kimara
nicheki 0683011003 tumalize biashara
Natafuta lori 10, kutoka dar kwenda kolwezi kupitia zambia,lushi ,likasi.
Tunakupa na return goods copper.
Malipo: 50% advance baada ya kupakia
Balance: 50% return
Mobile: 0692595127
Range rover vogue on sale
Make: Land Rover
Model: Range Rover
Mileage: 140,500 Kms
Year: 2002
Type of car: 4-door
VIN Number: 2600cc
Condition: Used
For only Tsh 50,000,000
Wasiliana nasi kwa...
Mafuta asili ya Rosemary ni mafuta yanayotengenezwa na viungo mbalimbali mahususi kwa ajili ya ukuaji wa nywele.
Mfano Rosemary yenyewe,black seed,fenugreek,hibiscuss,mint leaves,bay...
Plot For sale at Mikocheni Regent.
Location: Mwai Kibaki Road near US embassy.
Plot Size: Sqm 2460.
Price: $1.5M. Negotiable.
Document: Clean Title Deed.
For more details or to arrange a viewing...
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Material: Cotton
Bei ya Khanga: sh 20,000/=
Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3.
Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
NYUMBA INA VYUMBA VITATU VYA KULALA KIMOJA NI MASTER BEDROOM YENYE CHUMBA CHA MAKABATI YA KUHIFADHIA NGUO.
SEBULE, DINING, JIKO, STOO NA PUBLIC TOILET.
INA KORIDO PANA KUELEKEA VYUMBANI.
RAMANI...
Nyumba Inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
• Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
• Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo.
• Ina korido kubwa ya ndani na...
Frameless new monitor Kali mnooo
27 inch
Monitor code 27 B30H
Refresh rate 100hz
Aisee HD yake nibaraa
Aya wateja wangu ambao wanakiasi kidogo ila anataka monitor Kali hiii apa chap chap wahi...
Nauza Plots Kibaha(Visiga-Madafu) ziko Mbilil,zimeungana kilometa 3 kutoka lami Morogoro road(Kituo cha Madafu). zimepakana na kiwanda cha Kuzalisha Mayai. Umeme na Maji vyote vimefika. Panafikika...
sajili kampuni yako leo kwa bei nafuu,
1. LTD - 125,000 tu
2. JINA LA BIASHARA- 10,000 tu
3. kuandika Memorandum....
huduma nyingine ni pamoja na
1. Audit of annual financial statements
2...
Ney Ubuyu wa Kishua
Unaanzaje kupitwa na kiburudisho hichi kizuri
Ubuyu mzuri wenye ladha ya Vanilla, Chocolate na Pilipili
Jumla na Rejareja unapata
Kisado 20,000 Ndoo ndogo 40,000 Ndoo kubwa...
Mashine hii portable itakusaidia kufungua au kurahisisha biashara yako ya unga wa lishe, sembe, dona n.k
Inatumia umeme wa nyumbani tu na ina uwezo wa kusaga kilo 300 kwa saa na kukoboa kilo 200...
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Material: Cotton
Bei ya Khanga: sh 20,000/=
Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3.
Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
Nauza king'amuzi cha Startimes kikiwa na dish lake, remote controller, waya wake wa kutoka kwenye dish hadi kwenye decoder pamoja na power adopter yake kwa Tshs 35,000
Kimetumika miezi 4 tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.