Kipindi nasoma Pharmacy hili somo lilinitesa sana hadi nilipata Sapu (Supplementary).
Kwa hasira nikanunua hard copy ya Kitabu chake "Pharmaceutical calculations by Ansel 13th Edition" kwa sh...
Jiko ni jipya nimelitumia mizi2 tu.. na mtungi una gesi kidogo ya kuanzia.
Ni dharura (nasafri mkoani kwa dharura) naomba elf70 tu! Kama upo serious hata ukipungukiwa kidogo ilimradi initoshe...
PC GAMES ZINAPATIKANA KUANZIA ZA ACTIONS, RACING, ADVENTURES, SIMULATIONS NA SPORTS. BEI YENTU NI NAFUU SANA KUANZIA 5K NA KUENDELEA 0710701361 🔥🔥🔥
TUNA GAMES KUBWA NA ZILE NDOGO KWA AJILI YA PC...
TIGO INTERNET UNLIMITED
Bundle hizi tutaakuungia kwenye simu yako ya mkononi au kama una device yako ya internet.
Tuma ujumbe Whatssap au piga simu
📞0765991551
Laptop Inauzwa
Ni SAMSUNG LAPTOP
RAM 4 GB
Processor 2.4GHz
HDD 360GB
Betri yake nzuri sana inakaa na chaji masaa 4
Bei ni 260,000
Location ni Dar es salaam, Mbezi mwisho.
Mawasiliano...
Utapata logo kwa ajili ya matumizi yako binafsi, taasisi, biashara, kampuni n.k. kwa Tsh. 30,000/= Tu ndani ya siku 1 hapa hapa jf ama ukipenda whatsapp: 0767 402964.
Logo utatumia kutengenezea...
CHRISTMAS SPECIAL🎁
Date: 25th, DEC 2024
The Horizon Beach 🏖️
Karibu kwenye safari ya kusimumua ya kutembelea fukwe za "The Horizon" ndani ya mji wa "Bagamoyo" ikiambatana na kusherehekea sikukuu...
Kiwanja kipo Kiegeya (Mkundi) Morogoro
Kimepimwa na kina hati ( documents ) za malipo halali ya serikali na wizard ardhi
Kinafikika kwa hali zote
Ni kiwanja no 3775
Bei Tsh.2.5m
Njoo Mazungumzo yapo
Nina viwanja Chanika na Mbezi Beach Salasala. Kiwanja cha Mbezi beach kina thamani ya ml 30, na cha Chanika thamani ya 18m. Nataka gari aina ya rumion. Gari iwe imesimama. Nampa mtu kimoja kati ya...
Nauza mbegu za majani ya n’gombe ,mbuzi na kondoo.
Jihakikishie malisho na usalama wa chakula kwa mifugo yako.
Panda malisho hata kama eneo lako ni dogo.
Mbegu ni nzuri na inahimili ukame na...
Msaada waku naulizia wapi au makampuni Gani wanauza vyuma plate zakutengeneza matank ya mafuta petrol na diesel navyuma vya nguzo za conopy na vifaa vyake oringina msaada wenu Dee pond...
Tunaamini kwamba bidhaa zako ni bora na zina thamani kubwa kwa wateja wako.
Ndio maana tunahakikisha kwamba tunatoa huduma ya kipekee ya kubuni lebo nzuri ambayo itaongeza thamani ya bidhaa zako...
Habari wadada na wakaka. Nauza kinanda Cha studio ni kama kipya kinatumika kutengenezea muziki yaani MIDI Controller. Kinatumia sauti za program ya computer mfano cubase nk kupata sautii za aina...
Nauza laptop yangu ambayo nimekuwa nikitumia kwenye mambo yangu ya maswala ya IT.
Ipo vizuri, japo kuna marekebihso kidogo utakachofanya, ni marekebisho ambayo hayaathiri utendaji wake, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.