Nimejaribu kuuliza voda house niliponunulia hii simu lakini nao hawajui chochote, simu ni nzuri tu lakini nauliza kwa wewe ambae umeshatumia hizi simu spare zake ulipata wapi?
Kuna simu nzuri tu...
CeosTanzania hub ni group la whatssap linalokutanisha Wadau wa biashara kutoka mikoa Tofauti Tanzania lengo ni kujadili, kupeana Elimu inayohusu Uongozi, Ujasiliamali na Biashara. Kila mmoja...
Habari zenu wakuu.
Kama tangazo linavyosomeka ningependa kufahamu gharama za manunuzi ya machine ya kusaga nafaka pamoja mahali zinapoatikana.
Ningependa kufahamu pia taratibu nyingine za...
Tafadhali, husika na kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji mashine ya kukamulia miwa kwa ajili ya kutengeneza sharubati ya miwa. Kwa anayejua zinapopatikana tuwasiliane: 0713 111171
Huhu ni mfumo wa kieletronic wa hospitali,mfumo huo umetengenezwa na sow technologies na unapatikana kwa bei nafuu kabisaaa karibuni sana.Na hiyo ni demo video ya mfumo huo
kwa masiliano piga +255...
Viwanja vilivyopimwa kiserikali vinauzwa Mkuranga. Hatua iliyobaki ni mnunuzi kwenda kuchukua HATI.
Kilometre 3 toka Mkuranga Mjini; Umeme unapita na uendelezaji wa maeneo umeshaanza.
Bei ni...
Autoguru workshop Tunatengeneza na kuuza fenicha kwa Jumla na rejareja. Kwa fenicha kama:
Vitanda vya wakubwa na watoto
Double decker kwa shule/Hostel na majumbani
Dining Tables
Dressing Tables...
Autoguru garage ni kampuni inayoshughulika na utengenezaji wa magari kuanzia,
kunyosha magari na kupiga rangi
service za magari
diagnosis
engine overhaul
kubadilisha vioo
Alarm systems
Fleet...
Habari zeni,
Mimi ni muuzaji wa asali mbichi original kutoka Tabora na Kigoma ipo nyingi sana kwa bei ya jumla ya 220,000/- kwa lita 20. Anayehitaji anicheck kwa kupiga au kunitumia sms au...
Heri ya mwaka 2017, mwaka wa mafanikio makubwa na utimilifu wa mipango na ndoto zetu za miaka mingi.
Kwa neema ya Mungu nimepata order ya kusupply mchele 30000 metric ton kwa mwezi kwa muda wa...
Wadau wa biashara!!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu nahitaji Laptop haraka sana kwa ajili ya mwanafunzi.
1. Bajeti yangu Tsh 200,000/-
2. Napatikana Kigamboni, Dar
3. Hotline: 0659...
Nahitaji Mtaalamu wa kunijengea bwawa la kufugia kambale kisasa litakalokuwa limejengwa na mabanzi na karatasi maalum la nailoni lenye uwezo wa kufugia kambale 1000. Mimi niko Moshi Vijijini -...