Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

helow jf experts do you need any programs umetafuta software yoyote ukakosa?lakini unaiona kwa rafiki yako anaitumia? nina uwezo wa kuextract any software from installed software on pc the...
0 Reactions
2 Replies
594 Views
Ndugu wanajamii forum Salam. Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa upatikanaji wa viwanja Dodoma mjini anijuze. Viwanja vilivyopimwa vinapatikana sehemu gani kwa bei gani nna ipi ni sehemu nzur kujenga...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ipo kwenye hali nzuri. Haina cracks Napatikana Dar es salaam Njoo PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
OFA OFA OFA Land cruiser model 1999 Full vibali Haidaiw kitu chochote Full ac Haijawai kupata ajali Mkoan pia tunakuleta kama tukielewana bei Rim sports Music system 1HZ engen cc 4100 Km 41091...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Jamani tikiti zimekomaa ninauza shambani bagamoyo, kiromo. Karibu wafananya biashara mpate matiki safi toka shambani. Kwa mawasiliano zaidi piga: 0742899694
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kipo Madale kwa Kawawa, kilometer moja kutoka Barabara ya Madale ilipo nyumba ya Mzee Kawawa. Kina ukubwa wa hatua 25x25. Kipo kwenye makazi ya watu na kina nafasi za kutanuka kulia na kushoto...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
used Samsung Galaxy note 5 kwa bei chee: hii nilikuwa natumia mwenyewe, sasa naiuza kwa bei powa! camera ni 16MP storage ni 32GB RAM 4GB network ni 4G LTE haina tatzo wala...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu huduma ya massage ya ubongo inapatikana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amani iwe kwenu wana JF, Tukiwa kama vijana wajasiriamali tumeamua kuanzisha mradi wa kuchonga na kuuza majeneza ya kisasa na kuyasambaza sehemu mbalimbali nchini na nje ya nchi kwa bei nafuu...
1 Reactions
41 Replies
6K Views
1.Kwa anayhitaji adsense Ac anicheki ,ni Mpya kwa Sh elf 50 tu Moja -mbinu za kukuza RPM pamoja na mapato utapewa -na namna ya kuepuka kufungiwa hovyo 2.Anayehitaji group la facebook Lina members...
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Drone ni yuneec Q500 4k ni mili 3 na phantom 4 ni mil 3.2
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za sasa ndugu zangu? Natumia wote wazima na mnaendelea vizuri na majukumu. Mimi ni mzima na nashukuru Mungu, Kwa kuniwezesha kuendelea na majukumu. Bila kupoteza mda twende moja kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Aina ya friji: BOSCH Milango : Miwili, juu na chini Vipimo: Urefu 6.15f na upana 2.45f Rangi : Nyeupe Hali yake: Imetumika, inafanya kazi vizuri sana Mashaa Allaah. Juu inagandisha vizuri na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nahitaji kitanda cha futi 5 kwa 6,bajeti ni tshs100,000.Niko singida,mwenye nacho ni pm tufanye biashara.
0 Reactions
3 Replies
928 Views
Nauza dawa ninazo paket 65 hivi ni box 3 kubwa. Kila moja ni sh 16,500.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza Camera Canon C 1900 ni ndogo ya mkononi. Mega Pix: 16.0 Optical zoom: 5x Bei: 180,000 Mwenye kuhitaji ani PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Nina ekari moja ya eneo lipo Mjini Morogoro, Kilomita 21 toka Msamvu stand kuelekea Dodoma, Kilomita 9 toka highway. Sifa:Jirani zangu wanalima alizeti Kuna kiwanda cha...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
...
0 Reactions
7 Replies
984 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…