Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunauza pumba za mbao kwa wingi unaohitaji mawasiliano 0715426668
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Inauzwa Macbook Pro Os 10 Version 10.8.5 Processor 2.53 Ghz Intel Core i5 Memory 4GB 1067 MHz DDR3 Hdd 500Gb Used Haina battery. Charger ipo na inafanya kazi vizuri. Ukihitaji na battery tunaweza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Afya njema ni moja kati ya vitu muhimu sana kwa mjasiriamali. Ni muhimu kujua jinsi ya kulinda, kuboresha na kurejesha afya yako ili ufanye kazi vizuri. AFYA ZAIDI CONSULTANTS wanakusaidia kwa...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Iwe ina hali nzuri. Ina patikana kwenye showroom gani hapa Dar? Taja bei yake.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau,kwa mwenye kufahamu ni wapi linapatikana soko la magamba ya konokono (shells)wadogo Wa Ziwa Victoria.Wasindikaji Wa vyakura Vya mifugo nadhani mnaweza kuwa na taarifa.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
,
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jf, Niseme kwamba kuna wapenzi, kuna waliooana au waliopo kwenye mahusiano pindi wakiwa wamelala wengine hugeukia ukutani au upande mwingine kwa sababu mwenza akipumua hewa inayotoka puani...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau natafuta laptop yenye gharama ndogo kwa ajili ya mdogo wangu wa kike! Iwe na hali nzuri kiasi, budget TZS 200,000/= Ntapata? Niwekeeni na picha hapa hapa au PM, Ila Hapa hapa itakuwa...
0 Reactions
6 Replies
921 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Je ni sehemu gani naeza pata mtu wa kuni printia business cards au tshirts nilizo design!!? Je gharama ni shilingi ngapi kwa pc 50 na zaidi??
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kiwanja chenye msingi Wa Gorofa kama inavyoonekana kinauzwa M 30 Kipo Shangarai Arusha . Eneo lina ukubwa Wa 30 kwa 30 kama l inavyoonekana kwenye picha lipo barabarani . pm kwa mawasiliano .
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji laptop aina ya hp. Iwe na Ram 1GB na kuendelea Storage GB 80 na kuendelea, processor 2 hgz na kuendelea. Offer 200000 hadi 250000/ kama unayo nipm.
1 Reactions
1 Replies
431 Views
habari wana jf! Leo ninawaletea sanaa ya kupaka rangi ukuta kwa kutumia patterns na kuuachaa ukuta wako unapendeza zaidi ya wallpapers. Utahitaji rangi tu na stencils ambazo sisi tunazo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za mihangaiko wadau Bila kupoteza muda wakubwa na wadogo zangu mimi kama kijana mwenzenu naomba msaada Kwa yeyote anayemjua mfugaji wa kuku wa mayai anifahamishe. Kinachohitajika ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari mojawapo Kati ya hizi inahitajika haraka sana Runx, Alex, OPA namba C na namba D ndo priority. Bei iliyopo ni 6M but itaongezeka kulingana na ubora wa mkoko husika
0 Reactions
1 Replies
757 Views
Wadau, ni matumain yangu weekend yako iko njema Natafuta hiyo gari Iwe kuanzia namba C au D WhatsApp /call 0622070789
0 Reactions
1 Replies
597 Views
Wakuu habari za mida Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nahitaj piki piki (boxer) iwe kwenye hali nzuri ...bei=maelewano Mwenye nayo WhatsApp/call 0622070789 au dondoka hapa chini
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wakuu, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nahitaji hiyo gari, kwa mwenye nayo Namba D WhatsApp/call 0622070789
0 Reactions
4 Replies
875 Views
Wakuu Asylum Aleku Nauza nyumba ipo mbezi msakuzi dsm Ina vyumba vitatu, 1master, public toilet Ukubwa wa eneo robo heka na zaidi Nyumba ina tiles yote, bati m'south Kuna hati ya makazi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF kwa yoyote aliemaliza Diploma au Certificate ya Information Technology au inaofanana na hiyo anaeishi Dar Es Salaam na hajapata kazi naomba awasiliane moja kwa moja 0712 212 220...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…