Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunanunua mayai ya kienyeji kwa wingi *yawe yanakiini cha njano yaani kuku wawe wanalishwa mbogmboga kwa wingi *mayai yasiyozidi siku nne toka yametagwa. call/sms/whatsap 0659767196
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Full vibali Full ac Engine mpya haina tatizo Haigongi chini DVD/Bluetooth Music Luxury seats Perfect in every way Bei 6.5 million Kwa maongezi zaidi 0716398757
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Sio wengine ni GEMAB(GMB)group wanakujia na huduma majumbani mwenu KUSUKA MITINDO YOTE, kukufanyia usafi nyumbani kwako, je wewe ni muhanga wa wafanyakazi wa ndani GEMAB GROUP ndio suruhisho la...
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Kama inavyosomeka nina hiyo hela iko tayari kwenye mfuko wa shati natafuta laptop aina yeyote lakini iwe angalau na sifa hizi ;battery capacity not less than 3hrs,RAM not less than 2GB processor...
0 Reactions
1 Replies
680 Views
Wakuu, Habari ya kazi. Naomba kujua wapi napata soko la uhakika la pembe za ng'ombe? Aliye na contacts naomba anipatie. Natanguliza shukrani zangu za dhati Tougher
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu, Ni geto nimeishi wiki mbili, lina kitanda kipya, godoro dodoma jipya nchi 6, 5 by 6, kiti na meza na vifaa vya toilet, geto pia kama unataka uhamie lipo Songea town kabisa barabara kama...
0 Reactions
1 Replies
766 Views
Ukihitaji perfume ya kike au ya kiume original kutoka Sweden (Oriflame) karibu hapa.. Nitakuuzia kwa punguzo la bei kwa 30% ndani tarehe 29/4/2017 mpaka tarehe 1/5/2017. Ukihitaji bidhaa hizi...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Taja bei yako.. Mshindi anakichukua..
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari kwa wale woote ambao walihitaji miche ya michungwa aina ya galatia nilioieleza katika thread ya hapo nyuma ila kwa bahati mbaya walikosa tunapenda kuwataarifu kua kwa sasa ipo miche ambayo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mashamba yanauzwa yapo chanika mwanzo mgumu Kilomita Moja kutoka barabarani na barabara inafika mpaka kweny eneo... Shamba lina minazi michungwa miti ya mbao na maji yapo.. Shamba Eka Moja...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Canon lensi 70-300 mm Nyeusi Kwa dslr cameras Bei yake 250,000 0713088747
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Jamn mm sjui niambien
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunatoa huduma zifuatazo. 1. Preparation of concept note for academic researches. 2. Preparation of academic research proposals. 3. Preparation of research findings and report writing. • Data...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Jamani habar hapo inajieleza. Nina miaka 32 natafuta rafiki wa kike ili awe mchumba. Npm
0 Reactions
4 Replies
884 Views
Natafuta rain coats nzuri kwa watoto wenye umri wa miaka 3-10. Niko Dar
0 Reactions
0 Replies
585 Views
Lina ukubwa Wa heka 50 Miti INA umri Wa miaka 2 Kila heka inauzwa laki 3 Lina uzwa kuanzia heka 10 na kuendelea Linapatikana ktk mkoa Wa NJOMBE ktk tarafa ya lupembe Kwa mawasiliano pigs...
0 Reactions
2 Replies
783 Views
Habari wakuu, Nipo katika mchakato wa kuanzisha biashara yangu ya kusaga na ku-pack unga wa mahindi, sembe na dona (Na baadaye kutumia pumba zangu kutengeneza animal feeds). Ningependa kutoka kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa mahitaji yako ya shati na t-shirts kali check na sisi 0655261579 au 0745604403
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kichwa cha habari chajieleza hapo juu, naomba kwa mwana JF ambaye anauza fitness equipment used anichek tafadhar
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nafanya Setup ya Blog yako kukuwekea matangazo ya Facebook ili kujiongezea kibato kupitia BLOG YAKO Hakuna masharti mingi kama Adsense Lugha (Kiswahili kinaruhusiwa) Malipo (Unatumiwa Kwenye...
0 Reactions
1 Replies
908 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…