Tunanunua mayai ya kienyeji kwa wingi
*yawe yanakiini cha njano yaani kuku wawe wanalishwa mbogmboga kwa wingi
*mayai yasiyozidi siku nne toka yametagwa.
call/sms/whatsap 0659767196
Full vibali
Full ac
Engine mpya haina tatizo
Haigongi chini
DVD/Bluetooth Music
Luxury seats
Perfect in every way
Bei 6.5 million
Kwa maongezi zaidi
0716398757
Sio wengine ni GEMAB(GMB)group wanakujia na huduma majumbani mwenu KUSUKA MITINDO YOTE, kukufanyia usafi nyumbani kwako, je wewe ni muhanga wa wafanyakazi wa ndani GEMAB GROUP ndio suruhisho la...
Kama inavyosomeka nina hiyo hela iko tayari kwenye mfuko wa shati natafuta laptop aina yeyote lakini iwe angalau na sifa hizi ;battery capacity not less than 3hrs,RAM not less than 2GB processor...
Wakuu,
Habari ya kazi. Naomba kujua wapi napata soko la uhakika la pembe za ng'ombe? Aliye na contacts naomba anipatie.
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Tougher
Wakuu,
Ni geto nimeishi wiki mbili, lina kitanda kipya, godoro dodoma jipya nchi 6, 5 by 6, kiti na meza na vifaa vya toilet, geto pia kama unataka uhamie lipo Songea town kabisa barabara kama...
Ukihitaji perfume ya kike au ya kiume original kutoka Sweden (Oriflame) karibu hapa.. Nitakuuzia kwa punguzo la bei kwa 30% ndani tarehe 29/4/2017 mpaka tarehe 1/5/2017.
Ukihitaji bidhaa hizi...
Habari kwa wale woote ambao walihitaji miche ya michungwa aina ya galatia nilioieleza katika thread ya hapo nyuma ila kwa bahati mbaya walikosa tunapenda kuwataarifu kua kwa sasa ipo miche ambayo...
Mashamba yanauzwa yapo chanika mwanzo mgumu
Kilomita Moja kutoka barabarani na barabara inafika mpaka kweny eneo...
Shamba lina minazi michungwa miti ya mbao na maji yapo..
Shamba Eka Moja...
Tunatoa huduma zifuatazo.
1. Preparation of concept note for academic researches.
2. Preparation of academic research proposals.
3. Preparation of research findings and report writing.
• Data...
Lina ukubwa Wa heka 50
Miti INA umri Wa miaka 2
Kila heka inauzwa laki 3
Lina uzwa kuanzia heka 10 na kuendelea
Linapatikana ktk mkoa Wa NJOMBE ktk tarafa ya lupembe
Kwa mawasiliano pigs...
Habari wakuu,
Nipo katika mchakato wa kuanzisha biashara yangu ya kusaga na ku-pack unga wa mahindi, sembe na dona (Na baadaye kutumia pumba zangu kutengeneza animal feeds). Ningependa kutoka kwa...
Nafanya Setup ya Blog yako kukuwekea matangazo ya Facebook ili kujiongezea kibato kupitia BLOG YAKO
Hakuna masharti mingi kama Adsense
Lugha (Kiswahili kinaruhusiwa)
Malipo (Unatumiwa Kwenye...