Jia bati linavyopimwa ubora,kabla ya kununua,uziwa kitu unachokijua na si maneno

JMK ROYAL SERVICES

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
226
83
212f2ab683d330ffce73c3896e404e09.jpg

Baadhi ya vifaaa vikuwezeshavyo kujua ubora wa bati,ugumu wa batu,uimara wa rangi(coating),na upaukaji wa bati.
1.COATING THICKNESS TESTER
hii hutumika kujua ujazo wa rangi katika bati na kadri unavyosoma kiwango cha juu ndo uile bati limejaaa rangi na uoaukaji wake unakuwa mgumu inaeza soma kwanzia moja au 2 au3.2 kama hapo kwenye picha imaishiria rangi imekuwa coated ya kutosha
2097f99a5f5dca81aea1907bad6866af.jpg


2.HD MAGNIfIER
hii inakuwa na lesn ambapo unasogeza kipande cha bati lako kwa karibu la likionesha kwa ubora ule ule bila kufifia kwa maana lens ipo karibu bac hilo bati ni imara kwa rangi ilivyopigwa haipotei ata lens ikiwa karibu ila ambalo halijapigwa rangi vizur litaonekana limefifia
e4fd1048c9b0e2611741da1ad3fff0ab.jpg


3.IMPACT ELASTICITY TESTER
hiki kifaaa kinatumika kupima utobokaji wa bati kulingana na gauge yake na ugumu wa bati,kinawekwa kipande cha bati chini alafu kinabanwa kwa juu inakuwa na jiwe la chuma limechongoka linaachiliwa alafu linagonga kile kipisi cha bati kikitoboka bac bati c imara sana
2ff35615960ea51f89c8f365f6c4ed2c.jpg


4.SOLVENT RUB TESTER
hii hutumika kupima urahisi wa upaukaji wa bati,inawekwa solvent requid alafu inakuwa nakipande cha bati chini yake inasetiwa mda kipande kikitoka rangi hilo bati c imara kwa rangi
891de66d10fbea437789e49bdc527d08.jpg


Call 0656-816616 kwa ushuhuda na maelezo kamili
 
09de226650080fbfd0e7dbb67a3e375b.jpg

Roofing screw
Roofing screw with plastic cap and washer
Size: 4mm×90mm
Caps color:red,blue,green,carrot,chacoal gray,see blue.

Price:10,000/=1kg=100pieces
,.......................................................

2.Colored umbralla head Roofing screw with washer.
Size: 3.85mm × 76mm
Head colors: blue green,maroon,brickred,carrot,chacoalgray,blue,red

Price:10,000/=/kg=100pieces
........................................................
-Tupo kwa ajili ya kukupunguzia gharama na usumbufu
Tupo mikocheni pembeni na mayfair plaza
0656816616,0713637508
,0766004940,0753637508 0656816616,0713637508
,0766004940,0753637508
 
c367164c305ebdbf5ee767785dcb646e.jpg

Vipimo vya Meter(m) na futi(ft)

Hivi ni vipimo ambavyo wengi tunavisikia sana kwenye habari za ujenzi ,pia vipo vingine kama sentimeter(sm) ,inchi nk.

Ila vyote ni vipimo vya kimahesabu ambavyo vinaamanisha kitu kimoja ila kwa namba tofauti,mfano 100cm ni 1000mm,au 3meter ni sawa na 10ft.

Hivi vipimo hutumika sansana wakati wa kupima urefu na upana na ni vigezo vikubwa sana vya tofauti ya bei ata kitu cha sehemu moja ,mfano mbao au bati au waya ya kampuni moja inaeza kuwa tofauti kutokana na vipimo hivyo vinapoongezeka.

Pia tujifunze tu jinsi ya kuvitumia pale mafundi wetu wanapotumia vimipo kwa units fulani na tukiingia sokobi tukute vinauzwa kwa unit nyingine iwe rahisi kwetu kufahamu haraka na kuzungumza lugha moja
Mfano fundi akikupimia kitu katika units ya meter na ukakuta sokoni ni kinauzwa kwa futi usichangnywe na mahesabu.3meter ni 10futi 10

Kifaaa kirahisi kupimia hivi vipimo kinaitwa measuring tape,tape measure au futi,au tape wote tunakijua kina number zinazonesha meter,futi,cm na inch kwa wakati mmoja
Zipo za 3m,5m, 8m na zinginezo

Hii ukiifungua tu unakutana na kitu kimeandikwa 3m=10ft kwa upande wa chini itapima meter na cm kwa tofuti za ukubwa wa no (fontsize),juu itaandika ft

Tutumie mda kujifunza na kuelimika kwa faida yetu wenyewe tusiibiwe kwa kuchanganywa na vipimo
 
Tatizo la kuvuja kwa mabati ya msauzi mgongo mpana husababishwa na nini?? niliambiwa kuwa raba zilizoko kwenye misumari hupelekea nyumba kuvuja je ni kweli??
 
Tatizo la kuvuja kwa mabati ya msauzi mgongo mpana husababishwa na nini?? niliambiwa kuwa raba zilizoko kwenye misumari hupelekea nyumba kuvuja je ni kweli??
Siwez kuwa na jibu la moja kwa moja hapo inategemea na fundi wako alivyozipiga mkuuu
 
Back
Top Bottom