Natafuta gari aina ya Land Cruiser macho panzi.
Iwe kwenye hali nzuri.
Kwa maongezi zaidi napatikana kwenye namba hizi:
+255 624 593 778
+255 719 718 017
Ni Gari iliyokamilika viwango vyote ni Nissan caravan kwa ajili ya abiria/wanafunzi/kukoishwa kwa maongezi zaidi karibuni pm au hapa kwenye jukwaa.
Nawasilisha!
Habari wana jf,pikipiki aina ya San lg yenye umru wa mwaka mmoja lakini imetembea barabarani miezi saba tu na miezi mingine yote ilikuwa imekaa ndani bila ya matumizi
Bei ni shillingi Millioni...
Wadau natafuta fundi SERIOUS wa Laptop! Msisitizo ni hapo kwenye SERIOUS manake nina uzoefu na tech wannabe wa JF. Nina personal problems so it sucks unasumbua mtu maybe kutoka Gongo La Mboto hadi...
+255 657 685 268 WhatsApp!
Pata ramani za nyumba za kisasa za kuishi familia sehemu nzuri na salama kwa afya, uhuru na furaha!
1 chumba master
2 vyumba vya kawaida
Sebure,
Dining, jiko na...
Bei: 70 (maongezi yapo)
Vyumba vitatu kimoja master, jiko, dining, public toilet na sitting room
Mahali:Ungindoni km 12 toka ferry na km 2 toka barabara ya lami
Pia Unaweza Kulipa kwa awamu Kwa...
Make : Toyota
Model : L/Prado
Mileage :25,037 km
Engine size: 3,950cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2014
Doors : 5
Seats ...
VKP Investment ni kampuni iliosajiliwa na serikali inayojishughulisha na mambo mbali mbali ikiwemo uuzaji/ukopeshaji wa Viwanja na mashamba.Inakupa fursa ya kimiliki ardhi kwa mkopo usio na riba...
Ndugu kama nilivyo kwambia mimi ni fundi umeme nimehitimu mafunzo ya ufundi umeme mwaka 2015 ila sijafanikiwa kupata nafasi nzuri ya kutumia ufundi wangu hivyo naomba mwenye kuhitaji kunisaidia...
Mkataba wa upangaji ni wa muda mfupi kuanzia mwezi mmoja hadi mitatu endapo maelewano yatakuwapo. Nyumba iwe ya kisasa iliyo katika eneo zuri lenye kufikika kwa urahisi, iwe na umeme na maji, iwe...
Kwa mwenye mahitaji ya laptop aina yaToshiba inafanya kazi vizuri kabisa na viti vinne vya wageni ofisini pamoja na meza yake vinauzwa Mwanza.Laptop imetumikamwakammojaila vitina meza...