Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tecno W 4 Inauzwa 20,0000 Haina tatizo lolote Ina miezi 2 toka Inunuliwe Kama una hitaji pm Tutaongea
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Waungwana poleni kwa michakato yakimaisha. Subject iko wazi kabisa natafuta fish finder kwa mwenye information anisaidie. Anisaidie aina zake, soecification zake na bei zake. Zikiwa mpya na used...
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Drimhomz FUNDI/ MTAALAMU/ MUUZAJI wa Bidhaa na MDAU wa Ujenzi wa Nyumba za Makazi! *** Tangaza UFUNDI - BIDHAA - VIWANJA - NYUMBA NA VYUMBA VYA KUPANGISHA NA KUUZA *** === MASWALI - USHAURI -...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Wakuu ninataka kutoa karatasi za rangi 50000 ( matangazo ya biashara yangu) So nimeanda 800000 naweza pata printer gani jiwe?
0 Reactions
3 Replies
874 Views
Acer e-machine Processor Dual Core @ 2.10 GHz Ram 4 GB Hard disk 320 GB Screen size 17.3'' Battery not working ( replace) Operating system Windows Status: used but working Price 350,000 Contact...
0 Reactions
6 Replies
841 Views
cc:2000 kilometer :78000 year 2002 inbox serious buyers
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu kuna EKARI 5 zenye miti aina ya PINES yenye miaka 4 &5 na nyingine zikiwa tupu I mean pori zinauzwa *Maeneo ni NJOMBE njia ya songea * Bei ni maelewano
0 Reactions
5 Replies
1K Views
eneo lipo Tanga wilaya ya Pangani ,Mauya Linauzwa kwa ujumla na rejareja ni laki 4kwa heka 1 na ni Milion 28 kwa eneo lote Tuwasiliane +255675712533
1 Reactions
0 Replies
795 Views
Big land of one hector for sell area at tanga,pangani, kikokwe near india ocean. For more info call us +255675712533 or +255677602838 Aridhi kubwa ya hekta moja inauzwa maeneo ya tanga,pangani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu mim ni mhitimu Stashahada ya mambo ya uvuvi kutoka chuo cha uvuvi nyegezi Mwanza. Kama kuna mtu anamradi wa ufugaji Samaki au angependa kufuga Samaki anaweza kuwasiliana nami kwa...
0 Reactions
1 Replies
980 Views
MSAIDIZI WA KAZI ZA NYUMBANI/NDANI. (MDADA WA KAZI) Punguza majukumu kwa kupata msaidizi wa kazi za ndani kutoka *Rent A Maid Company* kampuni iliyopewa usajili "Reg No. 416087."...
0 Reactions
1 Replies
856 Views
Nwanajf nahitaji zile mashine za kunyonyolea kuku haraka sana ..kwa ajili ya biashara yangu ya kusupply nyama ya kuku. Mwenye kujua naweza pata wapi tafadhari anijuze Pm, bei na uwezo pia nikipata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Shamba lililopimwa lipo bagamoyo karibu na shule ya sekondari baobab kilometa chache kutoka bunju, shamba lenyewe lipo kata ya saangani sehemu inaitwa kidimu kilometa 6 tuu kutokea barabara kuu ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji hiyo TV Mpya kabisa kwenye box lake ni tshs ngapi karibuni wadau ...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
nahitaji kununua nissan liberty ila sijajua madhaifu kuhusu gari lenyewe japo kwa muonekano ni zuri sana. Naomba kwa anaelifahamu kwa undani anifahamishe kabla sijaingia mkenge!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka kununua gari aina ya coronna Premio Kama unayo weka picha tuongee bei
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Ni wapi naweza pata Hummer used ya kununua
1 Reactions
6 Replies
870 Views
Kama ni muajiriwa iwe taasisi za kiserikali ama taasisi binafsi, kuna huduma ya mkopo wa ving'amuzi vya AZAMTV kwa malipo ya miezi mitatu bei ya dukani, whatsapp 0682834573
0 Reactions
8 Replies
3K Views
wakubwa wa kambi habar zenu, Wakuu naombeni msaada wapi naweza nunua mayai ya kisasa kwa bei ya jumla mkoani Mbeya.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajamii forum wajasiliamali ni taarifa njema kwenu wafugaji wapya na wa zamani kuwa vifaranga vyetu ni vizuri na tunakufatilia kwa muda wa mwezi mmoja kwa huduma za ushauri na chanjo pia...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…