Waungwana poleni kwa michakato yakimaisha. Subject iko wazi kabisa natafuta fish finder kwa mwenye information anisaidie.
Anisaidie aina zake, soecification zake na bei zake. Zikiwa mpya na used...
Drimhomz
FUNDI/ MTAALAMU/ MUUZAJI wa Bidhaa na MDAU wa Ujenzi wa Nyumba za Makazi!
*** Tangaza UFUNDI - BIDHAA - VIWANJA - NYUMBA NA VYUMBA VYA KUPANGISHA NA KUUZA ***
=== MASWALI - USHAURI -...
Acer e-machine
Processor Dual Core @ 2.10 GHz
Ram 4 GB
Hard disk 320 GB
Screen size 17.3''
Battery not working ( replace)
Operating system Windows
Status: used but working
Price 350,000
Contact...
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu kuna EKARI 5 zenye miti aina ya PINES yenye miaka 4 &5 na nyingine zikiwa tupu I mean pori zinauzwa
*Maeneo ni NJOMBE njia ya songea
* Bei ni maelewano
Big land of one hector for sell area at tanga,pangani, kikokwe near india ocean. For more info call us +255675712533 or +255677602838
Aridhi kubwa ya hekta moja inauzwa maeneo ya tanga,pangani...
Ndugu zangu mim ni mhitimu Stashahada ya mambo ya uvuvi kutoka chuo cha uvuvi nyegezi Mwanza. Kama kuna mtu anamradi wa ufugaji Samaki au angependa kufuga Samaki anaweza kuwasiliana nami kwa...
MSAIDIZI WA KAZI ZA NYUMBANI/NDANI.
(MDADA WA KAZI)
Punguza majukumu kwa kupata msaidizi wa kazi za ndani kutoka *Rent A Maid Company* kampuni iliyopewa usajili
"Reg No. 416087."...
Nwanajf nahitaji zile mashine za kunyonyolea kuku haraka sana ..kwa ajili ya biashara yangu ya kusupply nyama ya kuku. Mwenye kujua naweza pata wapi tafadhari anijuze Pm, bei na uwezo pia nikipata...
Shamba lililopimwa lipo bagamoyo karibu na shule ya sekondari baobab kilometa chache kutoka bunju, shamba lenyewe lipo kata ya saangani sehemu inaitwa kidimu kilometa 6 tuu kutokea barabara kuu ya...
nahitaji kununua nissan liberty ila sijajua madhaifu kuhusu gari lenyewe japo kwa muonekano ni zuri sana. Naomba kwa anaelifahamu kwa undani anifahamishe kabla sijaingia mkenge!
Kama ni muajiriwa iwe taasisi za kiserikali ama taasisi binafsi, kuna huduma ya mkopo wa ving'amuzi vya AZAMTV kwa malipo ya miezi mitatu bei ya dukani, whatsapp 0682834573
Habari wanajamii forum wajasiliamali ni taarifa njema kwenu wafugaji wapya na wa zamani kuwa vifaranga vyetu ni vizuri na tunakufatilia kwa muda wa mwezi mmoja kwa huduma za ushauri na chanjo pia...