Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wa ndugu mimi nauza simu yangu aina na jina twajwa hapo juu.Bei ni 650,000/= hapo hamna mazungumzo. Ni nzima kabisa haina shida yoyote. Mwenye kuhutaji anicheki kwa 0763010107
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Samanani naomba nijue ni aina gani ya camera kwa ajili ya picha mgando tu inafaa zaidi, nataka nianze biashara lakini nashindwa ninunue aina gani.
0 Reactions
6 Replies
5K Views
SAMSUNG J7 2016 INAUZWA. Simu bado mpya kabisa haina tatizo lolote. Bei ni 650,000/=. Kama unahitaji nifuate PM au 0763 01 01 07. Karibu tufanye biashara.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
741 Views
OFFER-OFFER-OFFER Pata Nondo za BS-steel Turkey kwa punguzo la bei. Bei ya Tshs.1,750,000 kwa Ton. Wasiliana nasi: Mobile: 0766 313 300 au 0684 322 333 Website: www.jenganajeco.co.tz Email...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huu ndio wakati wa kupambana na kusambaza bidhaa zetu watanzania,Mikoba ya kimasai yenye mwonekano wa kisasa, kwa kina dada na kina mama kwa matumizi ya safarini,ofisini na hata kutoka out nyakati...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Eneo:CHAMAZI KWA MKONGO BLOCK A Bei: milion 53 Ukubwa:smq1830(61x30) location: KITUO TRANSFORMER KARIBU NA SHULE YA MISSION MKOMBOZI, AU KWA KOVA. NI kabla hujafika AZAM COMPLEX KUTOKA STAND...
0 Reactions
5 Replies
986 Views
Mahali; DAR kilwa road,mwandege nyuma ya kiwanda cha bakhresa(chatembo) Ukubwa; Ft 50×50 Bei; 2.000.000 - milion mbili Umeme,maji na barabara vipo! Mawasiliano; 0714 775566 0683 775566
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mandhari nzuri na sherehe nzuri.Karibu Budget hall leo utengeneze historia nyingine katika maisha yako,ukumbi unafaa kwa seherehe,mikutano,tamasha na shughuli yoyote unapokea hadi watu 500 na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
hello. anyone who need Free Internet Data for ( whatsapp, instgram, twitter, facebook and more) +8613268119438 whatsapp me
0 Reactions
0 Replies
398 Views
Husika na kichwa hapo juu gari ipo kwenye hali ya upya kabisa bei ml. 10 ukiiipenda nicheki PM
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Sisi ni Jenga na Jeco ni kampuni iliyo sajiliwa rasmi na tuna umoja(Network) na watengenezaji-Wasambazaji-Wauzaji-Wasafirishaji-wakandarasi-wananchi wanaojenga-Mashikika ya Ujenzi na NGO's...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mtu anaetaka kufungua kampuni ya ujenzi na hana cheti pendekezi, anitafute kwa email wilsonkaisery@gmail.com na kwa simu namba 0679541348 tufanye mazungumzo ya kina.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam wote! Napenda kuomba yeyote mwenye kiwanja au taarifa ya kiwanja eneo la Majohe ambacho kinauzwa anijuze kwani nahitaji, kiwe na ukubwa kuanzia 30" kwa 30" au zaidi. Asanteni.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, nina jamaa yangu anahitaji line tajwa hapo juu. Anapatikana Dar es Salaam. Siyo lazima uwe na line zote. Hata kama una 1 au mbili kati ya hizo lines...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
*ipo soweto vijibweni kigamboni<br />*ni mpya kabisa<br />* mara ya kwanza nilipanga mm ila nilikua cjaanza biashara natafuta mtu wa kunirudishia pesa aendelee<br />ndani kuna vitu vifuatavyo<br...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Website Hosting kwa gharama Nafuu kutoka Tanzania Website Experts Free SSL Certificate Free Cloudflare CDN Unlinited Email Accounts (info@yourcompany.com) 99.9% Uptime Gurantee Unlimited Monthly...
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Mashine ya bisi inayotumia umeme inauzwa kwa sh. 350,000/= Anayeihitaji anicheki inbox.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau wa JamiiForums, Ee bana mimi natafuta shamba la kukodi heka moja liwe karibu na chanzo cha kudumu cha maji kwa ajili ya kufanya kilimo cha umwagiliaji. Eneo linatakiwa liwe na...
1 Reactions
25 Replies
8K Views
This is a unique property exhibition ever happened in Tanzania.The event will feature top brands in the real estate ,sub sector,that include but not limited to:Real estate developers.Real estate...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…