Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tv hii imetumika chini ya uangalifu mkubwa sana. Iko katika hali nzuri kwa bei nafuu sana 0786371108 Gharama ya kuuzia naanza 660,000/= ila mapungufu kidogo tunaongea.
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Kiwanja kimepimwa na kina hati Kina sqm 747 Bei 36,000,000 Kiwanja kipo mivumon, wazo hill manispaa ya kinondoni karibu na chuo cha wakorea
0 Reactions
0 Replies
891 Views
KINGS SUPPLIER TUNAJIHUSISHA NA USAMBAZAJI WA DAGAA WA KUKAANGWA KUTOKA MWANZA kwa bei ya jumla na reja reja..... ni dagaa safi wasio na mchanga...wamefanyiwa packaging katika mazingira safi na...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
BEI ZA VIFURUSHI VYA MALIPO YA CANAL KWA MWEZI. 1. TOUT CANAL + Faranga za kirundi 120,000/= premium package sawa na shilingi 130,000/= Canal Sport 2. EVASION+ Faranga za kirundi 53,000/=...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Natafuta chumba (master), sebule na jiko maeneo ya ubungo hadi kimara bucha. Luku iwe ya kujitegemea, na maji yawepo. Budget yangu ni 150k top, malipo kwa miezi sita.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa tatizo la kiufundi ushauri juu ya mfumo wa umeme kwenye gari lako wasiliana nami kwa namba 0672527017 dar es salaam na popote ulipo ikihitaji huduma nitafika
0 Reactions
2 Replies
2K Views
-[TZ-2017-23]-[CLA-SLI-1-LV3]"]Best Womens Shoes Flash Shopping Deals Online in Tanzania | Jumia Market FLASH SALE IS NOW ON AT WWW.JUMIA.CO.TZ! LIMITED STOCK ON PROMOTION! ALL SIZES ARE...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi unajua kuwa na followers wengi kwa haraka sio kazi ngumu. Unaweza kupata follower kwa kutumia app ya real follower hii app haipatikan playstore kama zlivyo apps nyingine. Hii app ya Real...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau kwa anaehitaji apple computer, accessories, laptops kwa bei ya jumla, awasiliane Na sisi .tuna deliver mzigo popote ulipo. NB:Hatupokei pesa kabla..pokea mzigo wetu..ukague.ndiyo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau, kunahitajika simu aina ya tecno j8, c9 au w5 kwa bei za humu jf sio bei za dukani
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza simu Samsung Galaxy Note 1 Kwa sh 200,000tuu no pungunzo ni IPO vzr Tuu haina tatizo Kwa wanao itaji nicheck Pm
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta pkpk aina ya haojue,iwe ktk hali nzuri na isiwe na tatzo lolote, Mwenye nayo anicheck inbox tufanye biashara 0714775566 0683775566
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Aina Infinix hot note(x551) maeneo Mwanza Phone:0625981715
0 Reactions
4 Replies
889 Views
Nyumba inauzwa nyegezi Bondeni, mtaa wa Nyamazobe iko njiani mkono wa kushoto ukiwa unapandisha na barabara ya kwenda shule ya msingi Nyasubi,jirani na kwa Lugiko. Ina vyumba vitatu na siting...
0 Reactions
59 Replies
7K Views
UDI
HABARI WA JF. UDI WA AINA PEKEE NA MZURI KABISA NA BEI NZURI UNAPATIKANA ZANZIBAR, LAKINI UKIWA DAR-ES-SALAAM, UNATILIWA KATIKA BOTI NA KWENDA KUUCHUA OFISI ZA BAKHRESA NA KULIPIA GHARAMA NDOGO ZA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
pata mapambo ya asili kwa rangi na size unayotaka, kwa bei nafuu ikiwa wewe ni mwanaume au mwanamke weka order yako sasa tunasafirisha kokote!! nitafute instagram: @byera_handmade karibu sana
0 Reactions
0 Replies
2K Views
AINA YA KINGAMUZI STAR TIMES ( DISHI) MUDA WA KUTUMIKA MWEZI 1 SABABU YA KUUZA NATAKA KUAMA TOKA STARTIMES KWENDA DSTV BEI HALISI NI 90,000 PAMOJA NA KIFURUSHI MIMI NAUZA 70,000 PAMOJA NA...
0 Reactions
28 Replies
9K Views
Habari zenu wanaJF... Naomba kwa yeyote mwenye eneo kibiti au ikwiriri aniuzie... Napenda sna kwenda kuishi huko kwani nimeona kuna fursa nyingi sana za kiuchumi.... ...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…