Napangisha nyumba ipo kiluvya kwa komba dk 2 mpaka barabara kubwa morogoro road, nyumba ina vyumba vitatu kimoja master bedroom na public toilet, sebule,jiko na dyning
Bei maelewano tuwasiliane...
Habari za humu.
Kuna eneo la kiwanja linauzwa.
Lina ukubwa wa mita 38 kwa mita 20.
Eneo lipo lusando, mlamleni.Ikiwa kama unakwenda barabara ya kilwa,ukifika kongowe unaingia kulia.
Bei...
Wana jf,
Nataka nihudumie wenye dharura anayehitaji sh. 50,000 hadi sh 500,000 a pm, mkopo huu utauridisha ndani ya wiki 12 kwa riba ya 6% ila dhamana iwe na thamani ya kitu mara 4 ya mkopo
Karibuni
Wakuu natafuta moja wapo ya gari hizo hapo juu. Iwe imesajiliwa karibuni namba D, ikiwa na 4WD itakuwa poa zaidi. Kama ina tatizo lolote la kurekebisha ni vema unitaarifu kabla sijaja kuikagua...
Denso Rotor Head OEM number
096400-1240 for TOYOTA 14B (VE4/12R) and
096400-1250 for TOYOTA 3L (VE/10R)
zinauzwa kwa bei ya 250000tsh (Negotiable), popote ulipo nchini unatumiwa.
Contacts...
bei ni million nane na nusu
Kwa mawasiliano whatsap 0764426929,0742188846 na 0655726929
Miti IPO mkoan NJOMBE ktk tarafa ya Lupembe
Shamba linauzwa pamoja na ardhi
Karibuni katika mtandao mpya wa SautiYanguForum ( sautiyanguforum.com ). Huu ni mtandao ambapo watu hupashana habari, kutoa maoni na kujadiliana kuhusu mambo mbalimbali.
Ukitaka kujiunga nasi...
[emoji412] *TEAM* *SOLUTION* *CONSULTATION* [emoji412] KWA HUDUMA ZA (NYARAKA MBALIMBALI)
-BUSINESS PLAN(mchanganuo wa biashara) - kuanzia 400,000.00...
Habari Jf members,
Napenda kuuliza ni wapi ntapata simu aina ya blackberry bold 9930 au 9900 kwasasa nipo Tanga. Naomba mnijuze bei ya kuanzia au mahala zinapopatikana kwani naweza sogea Arusha au...
Phone...+255755508223...Nyumba ipo Barabarani kabisa ni dakika 10 au 15 kwa gari kutoka Ukonga Mombasa kwenda Bomba mbili kupita Ukonga mazizini... Eneo la kiwanja Robo heka, Nyumba ni kubwa...
Habari wadau, kuna mzigo wa tani 1300 za mbaazi tunatafuta mnunuzi, mzigo upo gharani hapa Dar es salaam ni mbaazi za Arusha. Zinauzwa kwa 1750 kilo 1.
Mawasiliano
+255652601602 ( whatsapp )...
Karibu kuna kiwanja kizuri kinauzwa Maeneo ya Airport kinafaa kwa Hotel,Airport hakuna Hotel nzuri ya kisasa,Karibu uwekeze,ukubwa wa Eneo ni SQM 8914
KARIBU SANA BEI MAELEWANO..,....
KOKOTO BORA ZA UJENZI TOKA LUGOBA..
Tunasambaza kokoto bora kabisa kutoka Moja kwa Moja kwenye Karasha letu Lililopo LUGOBA, Kokoto zetu ni bora kabisa inayozalishwa kutoka katika Mashine za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.