Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

  • Closed
Habari nina shida kidogo nahitaji kukopeshwa elfu 50 na ataenikopesha nitampa cm yangu km kuweka bondi,haitozid week 2 nitamrudishia nitachukua cm yangu..aliyetayar kutoa msaad anipm.
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Vitu vya salon vinauzwa 1.Draya 7 Made In Italy Zimetumika miezi mitatu tu 2.Steamer 2 3.Sofa ya watu watatu 4.Beseni la kuoshea kichwa 5.TV na king`amuzi chake cha Startimes Contact me kwa...
0 Reactions
16 Replies
10K Views
Habar za asubuh wana jamvi, husika na kichwa cha habar apo juu, kwa yeyote atakayehitaji kiwanja chenye ukubwa huo ani PM, kiwanja kipo mkundi manispaa ya Morogoro karibu na watumishi housing...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
zina AUTO - BPM Ziko poa bei sawa na bure zimabaki mbili kila moja 250,000/= Pioneer DJM 300 S Mixer Call/whatsapp 0764 876 888 DSM - Tabata/magomeni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwenye kufahamu kampuni yoyote inayo fanya shughuli za auction Congo anipe taarifa. 0758216498
0 Reactions
0 Replies
445 Views
Wadau habari zenu, nimepata tatizo la ghafla nahitaji 20,000 nitarudisha 25,000 jumatano. Sina cha kuweka dhamana ila ni uhakika(uaminifu 100%). Msaada jamani ni shida ya kifamilia, asanteni...
2 Reactions
101 Replies
10K Views
Nawakaribisha mje ktk biashara yangu kununua nguo nzuri za kiume kwa bei poaaaaaaa Niko sinza madukani
2 Reactions
36 Replies
9K Views
Wakuu naomba nina gunia 80 za alizeti sasa naomba kujua kama naruhusiwa kwenda kuuza nchini kenya nasikia huko bei nzuri mwenye uelewa na haya mambo naomba a nisaidie. Na kama naruhusiwa kuvusha...
0 Reactions
1 Replies
753 Views
Briggs & Stratton Water Pump Model: WP2-60 Briggs & Stratton Intek I/C OHV 6HP engine Cast Iron Volute & Impeller increases durability Heavy-duty impact frame Tool less priming 4 Litre Fuel Tank...
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Laptop Del Core i5 used, Ram 4GB,HDD 500 ipo sokon kwa Tsh.450,000/= bei haishuki.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Msaada kwa anayefahamu mahali zinapopatikana malighafi za sabuni mkoani mbeya
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nina kampuni ya ujenzi natafuta mtambo wa kuchonga barabara (motor grader 140G) kwa mkopo wa riba nafuu. Nipo Morogoro. Mwenye msaada nitashukuru
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kiwanja
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nina Laki 5 natafuta TV LG nch 42 nasikiA Zanzibar ni Laki 5 mwenye kujua anisaidie na kupata pia
0 Reactions
0 Replies
688 Views
naomba mnijuze kwa mnao juwa beivya guni la maindi kwa sasa kibaigwa limefika sh ngap
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wanao hitaji ku kunakshi nyumba zao kwa maua mbali mbali ya perving na imara ni cheki., 0753422844., 0718930097
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Anayeuza aje inbox
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nauza simu tajwa hapo juu Tecno C8 Tsh 180000(Laki moja na Themanini) Ipo katika hali nzuri tyu. Imetumika mwezi mmoja Kwa mawasiliano 0675636863 au 0762504906
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Husika hapo juu wakuu, Nataka kujikita ktk biashara ya Asali ili niweze kujikwamua kimaisha, Nataka kutoa Asali Tabora na kusafirisha Dar. Sasa naomba kufahamishwa kwa huko Dar ni wapi ntapata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapendwa habarini za leo na za majukumu pia,samahani kama kuna mwenye uzoefu ni jinsi gani ya kuanzisha kampuni na ofisi ya magari ya kukodisha kama TOURS,taratibu zake za kufuata japo mpaka sasa...
0 Reactions
1 Replies
861 Views
Back
Top Bottom