Habari nina shida kidogo nahitaji kukopeshwa elfu 50 na ataenikopesha nitampa cm yangu km kuweka bondi,haitozid week 2 nitamrudishia nitachukua cm yangu..aliyetayar kutoa msaad anipm.
Vitu vya salon vinauzwa
1.Draya 7 Made In Italy
Zimetumika miezi mitatu tu
2.Steamer 2
3.Sofa ya watu watatu
4.Beseni la kuoshea kichwa
5.TV na king`amuzi chake cha Startimes
Contact me kwa...
Habar za asubuh wana jamvi, husika na kichwa cha habar apo juu, kwa yeyote atakayehitaji kiwanja chenye ukubwa huo ani PM, kiwanja kipo mkundi manispaa ya Morogoro karibu na watumishi housing...
Wadau habari zenu, nimepata tatizo la ghafla nahitaji 20,000 nitarudisha 25,000 jumatano. Sina cha kuweka dhamana ila ni uhakika(uaminifu 100%).
Msaada jamani ni shida ya kifamilia, asanteni...
Wakuu naomba nina gunia 80 za alizeti sasa naomba kujua kama naruhusiwa kwenda kuuza nchini kenya nasikia huko bei nzuri mwenye uelewa na haya mambo naomba a nisaidie.
Na kama naruhusiwa kuvusha...
Nauza simu tajwa hapo juu
Tecno C8 Tsh 180000(Laki moja na Themanini)
Ipo katika hali nzuri tyu.
Imetumika mwezi mmoja
Kwa mawasiliano
0675636863 au 0762504906
Husika hapo juu wakuu,
Nataka kujikita ktk biashara ya Asali ili niweze kujikwamua kimaisha,
Nataka kutoa Asali Tabora na kusafirisha Dar.
Sasa naomba kufahamishwa kwa huko Dar ni wapi ntapata...
Wapendwa habarini za leo na za majukumu pia,samahani kama kuna mwenye uzoefu ni jinsi gani ya kuanzisha kampuni na ofisi ya magari ya kukodisha kama TOURS,taratibu zake za kufuata japo mpaka sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.