Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Make : Nissan Model : TIIDA LATIO Mileage : 62,914km Engine size: 1,490cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2005 Doors : 4 Seats...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kichwa kipo clear..nahitaji smartphone ya uhakika...tecno hapana kabisaa..nahitaji brands km: Huawei mate 8,Samsung kuanzia S6 edge plus , Sony,etc Scratches hazitakiwi .. Kazi kwenu..leteni...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
ninashinda ya kununua powerbank used kwa ambaye yuko mwanza nitafute
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Mwenye uwezo huo au kampuni anitafute kupitia email(wilsongamba825@yahoo.com)
2 Reactions
3 Replies
902 Views
Wanabodi... Muhitaji yupo Dar anahitaji simu nzuri mpya aina ya Sony iwe na uwezo wa kutumia line mbili na iwe na ukubwa(display) 6" au zaidi,muhitaji Ni mwanamke so au kama Kuna simu nzuri kwa...
0 Reactions
3 Replies
699 Views
Habari wana JF, natafuta soko la sungura. Sungura ni wa kizungu aina ya California na New Zealand white. wako na afya nzuri kwani wanapata mlo sahihi na matibabu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Waheshimiwa naomba mawasiliano ya makao makuu ya premier betting maana nahitaji nipate mashine ya kibetisha kwaajiri ya msimu ujao. Me niko SINGIDA ASANTENI NO: 0712-268339
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu poleni na kazi. Nauza kiwanja changu kiko buswelo mwanza maeneo ya nyamadoke. Kipo karibu ya barabara jipya litokalo Igoma.Kina ukubwa wa 25 kwa 30 m. Kimepimwa nakiuza kwa tsh. Mil 6.5...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
Kitanda kipo Dar Futi ni 5×6 Material Mbao Design Popo bawa Kimetumika in 4 months only Price/bei ni Tsh 110,000/= Serious buyer anaitajika kwa haraka Contact 0659254488 or 0688624299 S
0 Reactions
15 Replies
5K Views
NISSANI MURANO ipo sokoni kwa Tzs 18,000,000 Ipo tanga Ipo na hali nzuri kabisa Inatembea vizuri kabisa Kwa taarifa zaidi whatsapp 0713890887 Cc 2844 Ya mwaka 2007 5doors 5seaters Well mantained...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Make : Toyota Model : Rush Mileage : 84,684km Engine size: 1,500cc Gasoline : Petrol Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. ) Transmission : Automatic M/Year : 2007 Doors : 5 Seats : 6...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Street Winner Mobile Computer solution: STREET WINNER MOBILE & COMPUTER SOLUTION *TUNATOA HUDUMA ZA AINA MBALIMBALI KWENYE SMARTPHONES NA COMPUTER* 1. SIMU & TAB ZA ALCATEL,VODAFONE & ZTE ZENYE...
2 Reactions
43 Replies
8K Views
Used for 4 months Ipo kwenye good conditionm Display - 9.6" Storage - 16GB RAM - 1.5GB Battery Capacity - 5000mAh Price = 450,000. Nichek kwny 0684910695.
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Habari wakuu ! Kama title inavyojieleza hapo juu, Simu ni A5 (2015), ina miezi 2 tu tangu inunuliwe, ipo in a good condition, camera ni kali MP 13, Price 400k. Nicheki hapa 0653006425
0 Reactions
2 Replies
832 Views
Ndugu Kuna mtu ananisumbua. Je wapi hapa bongo naweza pata vyumba vya kupanga kwa 20elfu. Maji umeme. Mbali Na mji poa mradi daladala inafika. Hii Ni mipango ya January
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Nimeanzisha huu uzi ili wataalam wa kutengeneza mashine hizi watuelimishe. ukizingatia wataalam wa biashara, kilimo, afya nk wanatoa huduma na ushauli hum bure, hivyo naomba na na wataalam...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habar zenu wana jf nauza gar aina ya prado mwaka 2002 iko vizur. Ipo zanzibar Unaruhusiwa kuja na fund wako kuikagua siku nzima. Sababu za kuuza ni matatizo ya kifamilia. Bei sh mil 15...
2 Reactions
36 Replies
10K Views
Back
Top Bottom