Mashine ya kusaga mahindi bei gani?

Mashine ya kusaga mahindi bei gani?

Shin Lim

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
8,320
Reaction score
15,328
Habari waungwana, baada ya maisha kuhitaji akili kuliko wakati mwingine wowote nimefikiria labda mashine ya kusaga ya diesel inaweza kuwa mbadala wa kuongeza kipato maaana hali si hali.
Mungu akijalia nikivuna safari hii nataka nivute chombo hicho.
Kwa wazoefu wa hivi vyombo vya moto ni bei gani kwa dar es salaam?(complete kuanzia injine hadi kinu) na aina ipi ni nzuri?
Kazi njema.
 
Bei zinatofautiana kutegemea na aina ya Mashine
 
Ungeniambia zinaanzia na bei gani ungekuwa umenisaidia sana
 
Aí ser ghali sana. It means ya 1 mill siwezi kupata
 
Aí ser ghali sana. It means ya 1 mill siwezi kupata
 
Ina mpaka sasa hakuna muuzaji kafika pande hivi.
 
IMG_20170723_123427.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama upo Dar nenda pale Sido Pugu road/Nyerere road utachagua
kwa kadri ya mahitaji yako.
 
1.8 mpaka 3.5 millioni. Hizo ni za wastani.... KG 1 mpama Kg 100 kwa saa

Sent using Jamii Forums mobile app
hilo litakuwa kolokolo mkuu. injini ya kichina mfano yd hp 16-20 pistoni 1 inatafuna kg 20 kwa dakika 7= 35min/40 kwa kg 100. la na mikoani kwetu (mwanza/kahama/katoro) injini haizidi 800,000+kinu 350,000. vinginevyo utangaze kuwa: HUJUI MASUALA YA USAGISHAJI au WEWE NI DALALI ASOGEE UMPIGE!
 
hilo litakuwa kolokolo mkuu. injini ya kichina mfano yd hp 16-20 pistoni 1 inatafuna kg 20 kwa dakika 7= 35min/40 kwa kg 100. la na mikoani kwetu (mwanza/kahama/katoro) injini haizidi 800,000+kinu 350,000. vinginevyo utangaze kuwa: HUJUI MASUALA YA USAGISHAJI au WEWE NI DALALI ASOGEE UMPIGE!
Nimependa Sana maelezo yako brother.
Kwa hiyo bei halisi kwa injini ni kati ya laki nane, na bei ya kinu ni kati ya 350KK.
Ahsante kwa mwongozo wako.
 
Back
Top Bottom