Nahitaji mahindi na karanga mbichi

Nahitaji mahindi na karanga mbichi

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,436
Reaction score
1,627
Habari za muda huu.
Nahitaji kununua mahindi 500 kg @Tsh.350/=. Sharti mahindi yanapaswa kuwa makubwa na masafi.
Pia nahitaji karanga 300kg@Tsh.1,400/=. Ziwe safi, zisiwe zimeoza, ziwe zimekauka vizuri.
Nipo Mwanza, kama utakuwa na uwezo wa kusupply hata zaidi ya hiyo idadi naomba uni pm tafadhari.
 
Back
Top Bottom