Nahitaji korosho zilizobanguliwa nahitaji kupack tu nakumfikishia mlaji. Wapi nitapata kwa kuanzia kilo 3 na ni kiasi gani kwa kilo moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Salam,
Nauza gari, ni SPACIO OLD MODEL
CC 1580.Engine ni 4A, inatumia Petrol
T415 BHH
Gari ipo katika hali nzuri kabisa, bei ni MILIONI TANO TU.(Mazungumzo yapo)
Kwa mawasiliano 0768208713...
Habari za majukumu wakuu, ni matumaini yangu kuwa mnaendelea salama kabisa na juhudi za kulijenga Taifa letu.
Mimi naomba kuuliza kuhusu wapi naweza kupata software nzuri ambayo naweza kuitumia...
Tunahitaji nyumba ya ghorofa ya kununua maeneo ya mikocheni na kawe beach! Nyumba iwe mpya na plot size isipungue 1000sqm
Isiwe na migogoro na pia isiwe bei zetu zile za Jakaya!
Wasiliana nami...
Color Gold, CC 1290, AB ABS
Total cost Tsh 8.2Mil pamoja na ushuru
Agiza nami kwa:
call/whatsapp: +255715471659
e:hamoudautocom@gmail.com
...Wakati wote ni wakati wa kazi...
Color silver, CC 1490, AB ABS AW FOG
Total Cost Tsh 10.8Mil pamoja na ushuru
Agiza nami kwa:
call/whatsapp: +255715471659
e: hamoudautocom@gmail.com
...wakati wote ni wakati wa kazi...
Wazima, samahani nauza smartphone ni tecno w3 kwa laki moja. Imetumiwa kwa muda Wa mwezi mmoja tu. Kama unaihitaji Nicheck 0625623692
Sent using Jamii Forums mobile app
Pata Bra set 20,000/= punguzo lipo kutokana na idadi utakayochukua.
Dar unaletewa ulipo
Mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa
WhatsApp/Call/Text
0629226770
Ifanye nyumba yako iwe na mwonekano nadhifu kwa kuwasiliana nasi
1. Tunatengeneza sofa aina zote, za chuma na za mbao zenye ubora wa hali ya juu kwa bei poa sana
2. Tunatengeneza vitanda aina...
Color Pearl, CC 2490, AB ABS AW HID NV TV P-SEAT
Total Cost Tsh 13.5Mil Pamoja na ushuru
Agiza nami kwa:
call/whatsapp: +255715471659
e: hamoudautocom@gmail.com
Wanabodi habari njema ni kwamba kiwanja kilichopo Kibaha kwa Mathias kando kando ya barabara iendayo Nyumbu jeshini eneo linaloitwa Jamaika chenye ukubwa wa takribani ekari moja kinauzwa. Kiwanja...
Wakuu habari za Leo,napenda kutoa maelezo machache kuwa Nina vuna MAHINDI yangu Morogoro ekari tano..natafuta soko kwa anaefahamu debe la mahindi kwa sasa nikiasi gani?
Sent using Jamii Forums...