Inauzwa bei maelewano

Inauzwa bei maelewano

Joined
Jul 31, 2017
Posts
32
Reaction score
24
Inauzwa bei maelewano
 

Attachments

  • IMG-20170731-WA0003.jpg
    IMG-20170731-WA0003.jpg
    107.3 KB · Views: 47
Dah...... Ukiitembeza mita 100 tu itakuwa na maelfu ya nyufa.......rejea tetemeko la Kagera[emoji41] [emoji125] [emoji125] [emoji87]

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 
Iyo ya kulia tupu au na ya kushoto. Imesukwa na nondo ngapi, gharama ya kuzichimbua unafanya mwenyewe au nafanya mimi.
 
Ndo maaana wakenya wapo mbali sana ktk marketing sasa huyu chzi ndo katangaza nini hapo mtu akunyime chakula sio shule
 
Unaweza kuongezea kama hivi
1. Ni ya kampuni gani?
2. Ina muda gani tangu imekaa hapo
3. Ipo wapi?
4. Number gani?
5. Ongeza na picha.
Ni ushauri wangu tu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom