Jazia nyama tangazo lako lijitosheleze... picha kwa kila angle (kama ina kava litoe mtu athaminishe hali halisi ya simu), elezea kama mtu anapata na accesories nyingine kama charger na earphone.In good condition,
Ni 480,000, kama upo serious kwa wakaz wa dar, nicheki kwa pm