Ist namba D kwa milioni 8.7

Ist namba D kwa milioni 8.7

Master of the game

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2016
Posts
5,858
Reaction score
2,700
Wazee nasikia kuna watu washakamata mshiko wa makinikia,msikremu sio lazima Noah chukua Ist hii hiyo 5.3 fanyia mambo mengine .
Hata wale mtaani kwao mademu wanashoboka na D ndio hii nimewaletea.
Kuna wale wazee ndoa zimeyumba,vumbi la mkongo pekee haliwezi kuokoa ndoa,mshtukize na Ist hii uone ndoa itakavyonoga ,sio lazima Range hata hii atakushukuru.
Hamuamini???jaribuni bas nitafuteni kupitia 0689699704 nikuachie gari kwa milioni 8.7.
IMG-20170823-WA0007.jpg
IMG-20170823-WA0008.jpg
IMG-20170823-WA0005.jpg
IMG-20170823-WA0006.jpg
IMG-20170823-WA0003.jpg
IMG-20170823-WA0001.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah.....bei ya wahindi naogopq kutaja. Unaweza kuniona roho mbaya ninao enewei. Info is power!
 
Hivi tawi la masdo bado lipo?

Nikafanye michakato.
 
Back
Top Bottom