Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 899
Habari wakuu
Ninauza kiwanja kiko maeneo ya kisasa dodoma mjini.kimepimwa na kina hati na kina pagale ndani yake.kiko block E na plot no.25!!!
Kiko umbali wa kama mita 130/170 toka barabara kuu ya lami iendayo dsm.maji na umeme vipo
Eneo liko jirani kabisa na best primary and nursery school in dodoma(martin luther school),sheli ya lake oil iko jirani na chuo cha masista cha st gemma(kwenye picha sehemu iliyo na miti mingi(miashori) ).kina ukubwa wa square metres 1000 na bei yake ni milioni 47,maelewano yapo.unaweza ni PM au waweza nitafuta kupitia 0767833496
stevenmasaka@gmail.com
NB:Naomba tuwe na busara mana kuna watu walidhani mimi dalali kuna siku ntawaweka public humu JF mana wanakumbuka kilichotokea waliponifata
Ninauza kiwanja kiko maeneo ya kisasa dodoma mjini.kimepimwa na kina hati na kina pagale ndani yake.kiko block E na plot no.25!!!
Kiko umbali wa kama mita 130/170 toka barabara kuu ya lami iendayo dsm.maji na umeme vipo
Eneo liko jirani kabisa na best primary and nursery school in dodoma(martin luther school),sheli ya lake oil iko jirani na chuo cha masista cha st gemma(kwenye picha sehemu iliyo na miti mingi(miashori) ).kina ukubwa wa square metres 1000 na bei yake ni milioni 47,maelewano yapo.unaweza ni PM au waweza nitafuta kupitia 0767833496
stevenmasaka@gmail.com
NB:Naomba tuwe na busara mana kuna watu walidhani mimi dalali kuna siku ntawaweka public humu JF mana wanakumbuka kilichotokea waliponifata