Fahamu hili kuhusu Diamond Karanga

Fahamu hili kuhusu Diamond Karanga

The Wolf

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
9,454
Reaction score
20,857
Kila punje moja katika pakiti ya diamond karanga unainunua kati ya Tsh. 15 - 18, kabla ya kutoa gharama za uzalishaji. Zinatakiwa kuwa 20, sema ndio hivyo unaweza kukuta hadi 16 katika pakiti moja.

I just found it very interesting. All the way up brother

upload_2017-8-24_12-6-44.png
 

Attachments

  • upload_2017-8-24_12-3-31.png
    upload_2017-8-24_12-3-31.png
    71.5 KB · Views: 173
Ingekuwa ya Mchina au Muhindi wangesifia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hujui mkuu? Diamond karanga ni mali ya Mhindi na iko muda mrefu. Kilichobadilika ni rangi ya kifungashio kwani zamani ilikuwa njano, na katika kutumia mbinu ya marketing amemtumia Naseeb a.k.a Diamond kufanya promoshen. Makubaliano yao hatujui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hujui mkuu? Diamond karanga ni mali ya Mhindi na iko muda mrefu. Kilichobadilika ni rangi ya kifungashio kwani zamani ilikuwa njano, na katika kutumia mbinu ya marketing amemtumia Naseeb a.k.a Diamond kufanya promoshen. Makubaliano yao hatujui.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana weee kwani mtu huwezi filisika ukauza kampuni akanunua mwingine akaendeleza?
 
Kwani hujui mkuu? Diamond karanga ni mali ya Mhindi na iko muda mrefu. Kilichobadilika ni rangi ya kifungashio kwani zamani ilikuwa njano, na katika kutumia mbinu ya marketing amemtumia Naseeb a.k.a Diamond kufanya promoshen. Makubaliano yao hatujui.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe makubariano yao huyajui? Sasa kwanini unaandika kitu as if una hakika wakati unakiri kuwa makubariano yao huyajui?
What if kanunua hiyo brand ya karanga? Au what if makubariano yao yanampa 50% ya umiliki wa bidhaa?
Kuwa mchawi siyo mpaka ukawange
 
Dai jamani kafanya tangazo tu Wa Tanzania wazito kuelewa au mmeamua kujitoa akili... kama vile anavyo I promote Voda so nayo ni yake
 
Dai jamani kafanya tangazo tu Wa Tanzania wazito kuelewa au mmeamua kujitoa akili... kama vile anavyo I promote Voda so nayo ni yake
Tunasikiliza yeye na management yake walichokisema.
Kabla ya hata kuzindua hizo bidhaa walisema watazindua bidhaa flani na flani.
Voda inajulikana kuwa ni tangazo, coca inajulikana kuwa ni tangazo.
Kwanini hatukusema kuwa ile tomato sauce yake? Ni kwasababu hakusema kuwa ni yake ila karanga before hata hajazizindua sallam sk alisema kuwa ni product ya msanii wake
 
Tunasikiliza yeye na management yake walichokisema.
Kabla ya hata kuzindua hizo bidhaa walisema watazindua bidhaa flani na flani.
Voda inajulikana kuwa ni tangazo, coca inajulikana kuwa ni tangazo.
Kwanini hatukusema kuwa ile tomato sauce yake? Ni kwasababu hakusema kuwa ni yake ila karanga before hata hajazizindua sallam sk alisema kuwa ni product ya msanii wake

Ooh product yake
 
mubuni na nyinyi vyenu angekua baharesa hapo kimia shida ni diamind.mungejua utajiri anao tengeneza huyu dogo kwenye karanga haki ya mungu mungekufa kwa bp angalieni ubize wa vijana dar kwa kuuza karanga hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ooh product yake
Mkuu usiseme watz sema hata vyombo vya habari navyo vimeripoti hivyo sasa naanzaje kubisha kama yeye kasema na media zimesema.
Diamond auza njugu karanga - BBC Swahili
MICHUZI BLOG: DIAMOND AZINDUA MRADI WA KUUZA KARANGA KATIKA SOKO LA MCHIKICHINI
www.ghafla.com/tz/diamond-karanga-yaanza-kuuzwa-kenya-pia/
Personally sioni ajabu au kama anashindwa maana kama wakina soudy wameweza pack ubuyu wao vizuri wakauita shilawadu wakauza na I am sure unanunuliwa sana sasa ina tofaui gani na diamond kupack karanga
 
Kwani hujui mkuu? Diamond karanga ni mali ya Mhindi na iko muda mrefu. Kilichobadilika ni rangi ya kifungashio kwani zamani ilikuwa njano, na katika kutumia mbinu ya marketing amemtumia Naseeb a.k.a Diamond kufanya promoshen. Makubaliano yao hatujui.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watu wanaitwa snart undustry ndio wanaotengeneza chama, japo kuwa makubaliano yao hatujui lakini ukitumia ubongo vizuri utajiuliza, kabla ya diamond zilikuwa zinauzwa 200 ila alivyoingia naseeb zinauzwa 300! Na pia kwa nini WCB team wana play part kunwa sana kwenye distribution? Yaani hata mikoani kuna watu wao wanapokea oder? Kufananisha hii na tangazo alilolifanya voda ni mapungufu ya kufikilia.

Kwenye hili wanachokifanya smart industry na WCB ni win win, tengeneza nitaiongezea thamani na customer base then tunagawana faida, ndio maana hata kama una tani zako za karanga we niite niwe dalali twende pale WCB tukachukue mkataba tuuze! Sasa hata kama hatujui makubaliano ndio hata picha hatuioni?
 
Back
Top Bottom