JAMBONIA LTD
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 576
- 263
Habari za muda huu, kwa wapenzi wa ubuyu na wajasiriamali.. Nauza ubuyu kutoka Zanzibar kwa elfu 33 tu ndoo ndogo ya lita 10,ubuyu Mtamu.. Na napokea oda kwa idadi unayoitaka.. Ubuyu unapikwa baada ya kuweka oda hivo ni fresh karibuni sana na idi ndo hiyo inakuja tuchangamkie fursa... Kwa Dar es salaam unaletewa mpaka ulipo moja kwa moja kutoka bandarini sms or whatsapp no 0713763595