Habari za mchana na jioni waungwana.
Naomba kama kuna mtu ambae ni fundi mtengenezaji wa mashine za kutotoleshea vifaranga (incubetor) tuwasiliane DM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza pikipiki boxer 100 haina tatizo lolote
Ina vibali vyote
Document zote zipo
Haili mafuta
Haihitaji marekebisho ni kutoa hela, kuwasha na kuondoka
Bei laki saba tu (700,000) ukiwahi...
Habari zenu jamani, Nimelima tangawizi mkoani Moshi wilaya ya Same na zipo yayari kwa kuvuna.Nilikua natafuta soko zuri la tangawizi, kwa anaye faham please naomba msaada.
Sent using Jamii Forums...
HABARI WAKUU,
Nimefurahi sana baada ya kupata taarifa kuwepo kwa apps za mikopo rahisi huko playstore, we ni kupakua app yako na kujaza fomu kisha unapakua kiasi kulingana vigezo vyako..
Mimi ni...
Salam!
Laptop nzuri sana inauzwa kwa bei ya nzuri kutokana na ubora wake! Laptop hii ina sifa hizi hapa.
Aina: Hp elitebook 8540w
Operating system: window 8.1 Pro 64-bit (6.3, Build 9600)...
kwa anehitaji dagaa wa Mwanza wale wabichi wamekaangwa tuwasiliane. Unaweza wapasha ukala au unaweza kuwaunga either way! Hawana mchanga na sio wachungu.
Pakiti-1500 (wamewekewa viungo)...
Make : TOYOTA
Model : Belta (SCP92)
Mileage : 91,416km
Engine size: 1,290cc (2SZ)
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
Drive : -
M/Year ...
kwa anehitaji dagaa wa Mwanza wale wabichi wamekaangwa tuwasiliane. Unaweza wapasha ukala au unaweza kuwaunga either way! Hawana mchanga na sio wachungu.
Pakiti-1500 (wamewekewa viungo)...
Habari
Nahitaji kuku wa mayai (wanaotaga au waliomaliza kutaga) kwa bei ya sh.9000
Nahitaji kama kuku 700
Hata kama unao kuku 100 au unajua kuna mahala wanauza naomba nijulishe
Hii biashara ni...
habari,
Nauza kuku wa kienyehi kutoka dodoma, wanafaa kwa kufuga, biashara na kula sababu wapo wa ukubwa tofauti tofauti...
bei inaaznzia elfu 13 mpaka elfu 23 kulingana na ukubwa!!
wapo njia...
KUNA FRAM INAPANGISHWAA
UKUBWAA WA KUTOSHAA TU
ENEO-Ubungo maxiwa karibu n stand ya mkoa
150,000 per month X 9
call 0714-111058 kwa maelezo zaidi....
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za muda huu.
Tambua njia za kujiajiri kwa Tsh.0 - Tsh. 500,000/=
Kama unataka kujiajiri ajira zifuatazo unaweza ukafanikiwa na ukasonga mbele na ukafanikiwa zaidi, kwa mfano wa biashara...
NA unlock moderm kila aina tuma model na aina ya moderm bila kusahau ime number kwa buku4 tuu kwa uhakika zaidi utatuma kwanza imformation za moderm na tukifanya kazi utajulishwa ili kupata ulock...
Clean as new
Bei ni tsh 780,000
Kila kitu unapewa
Mawasiliano 0758728258
Sifa;
NETWORK
Technology
GSM / HSPA / LTE
LAUNCH
Announced 2015, July
Status Available. Released 2015, September
Weight...
Huu n mzgo mpya wa mafuta ya hurriya..... Mafuta ya asili ya hurriya n mafuta asili yalotengenezwa kwa mchanganyiko wa vitu asili
1.Hutumika kwa massage......
2.Husaidia wakina dada weny tatzo...
NISSAN TRAIL
Year : 2005
Engine capacity :1990
Drive : 4wd
Mileage :105000 km
Gharama kamili : Tzs11.7million
Call / whatsapp : 0652310631
GARI ZETU NI ZA KUAGIZA KUTOKA JAPAN NA HIYO NDIO...
Ramani ya nyumba ndogo nzuri ya vyumba vitatu. Ina Vipimo upana mita 9.5 kwa urefu wa mita 14. Ina Public toilet,jiko,sitting,Dinning,Master1 na vyumba viwili vyakawaida
Kununua mchoro huu...