Mkopo rahisi usio na masharti

Mkopo rahisi usio na masharti

DissDotCom

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
395
Reaction score
271
HABARI WAKUU,

Nimefurahi sana baada ya kupata taarifa kuwepo kwa apps za mikopo rahisi huko playstore, we ni kupakua app yako na kujaza fomu kisha unapakua kiasi kulingana vigezo vyako..

Mimi ni mnufaika wa mkopo huo baada ya kupata taarifa kutoka kwa jamaa yangu.

Moja kati ya app iliyoninufaisha ni TALA ambayo haina mbwembwe nyingi

MSAADA KAMA KUNA MWENYE KUJUA APPS NYINGINE ZA MIKOPO
 
ila jua tu..ukikopa wanapewa access ya kujua kila kinachoendelea ndani ya simu yako...laini yako.
sema tu wanaheshimu privacy yako..hawatoi hizo taarifa zako kwa wengine.
 
Tala Ni App Bora Sana Nimekopa Kwa Mala Ya Kwanza Wakanipa Elf 50 Liba Yao Ni Shiling Elf 7 Jumla Inakua Elf 57 Nimemaliza Kulipa Wananikopesha Elfu 50 Tena Me Nataka Waniongeze ,,, Vp We Mwenzangu Mkopo Wa Pili Wamekupa Kiasi Gan
 
Tala Ni App Bora Sana Nimekopa Kwa Mala Ya Kwanza Wakanipa Elf 50 Liba Yao Ni Shiling Elf 7 Jumla Inakua Elf 57 Nimemaliza Kulipa Wananikopesha Elfu 50 Tena Me Nataka Waniongeze ,,, Vp We Mwenzangu Mkopo Wa Pili Wamekupa Kiasi Gan
mi ndio kwanza nimeanza mkubwa..wamenipa 40...nasubiri nirejeshe nipae
 
Sidanganyikiii
7f700d3ed125917b1a7ea7dd7c05ab89.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUWEKEE HIYO LINK HAPA
Tala Ni App Bora Sana Nimekopa Kwa Mala Ya Kwanza Wakanipa Elf 50 Liba Yao Ni Shiling Elf 7 Jumla Inakua Elf 57 Nimemaliza Kulipa Wananikopesha Elfu 50 Tena Me Nataka Waniongeze ,,, Vp We Mwenzangu Mkopo Wa Pili Wamekupa Kiasi Gan
 
Tala Ni App Bora Sana Nimekopa Kwa Mala Ya Kwanza Wakanipa Elf 50 Liba Yao Ni Shiling Elf 7 Jumla Inakua Elf 57 Nimemaliza Kulipa Wananikopesha Elfu 50 Tena Me Nataka Waniongeze ,,, Vp We Mwenzangu Mkopo Wa Pili Wamekupa Kiasi Gan
Mimi pia nilikopa kama Nara NNE kwa sasa ila nipo kwenye 40,000.wanachozingatia kwenye maswali uliutumiaje mkopo uliopita na taarifa zako za Mara ya kwanza Kabisa za mkopo wa kwanza,ila Daa wanasaidia ukipigika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HABARI WAKUU,

Nimefurahi sana baada ya kupata taarifa kuwepo kwa apps za mikopo rahisi huko playstore, we ni kupakua app yako na kujaza fomu kisha unapakua kiasi kulingana vigezo vyako..

Mimi ni mnufaika wa mkopo huo baada ya kupata taarifa kutoka kwa jamaa yangu.

Moja kati ya app iliyoninufaisha ni TALA ambayo haina mbwembwe nyingi

MSAADA KAMA KUNA MWENYE KUJUA APPS NYINGINE ZA MIKOPO
BRANCH APP
 
Tofauti yake na M pawa ni nini?

La sivyo sioni pointi niache kukopa kwa ninayemfahamu niingi nisikokufahamu.
 
Riba ya elfu saba ni kwa muda gani?

Sijawahi kusikia duniani mkopo usio na masharti!.


Tala Ni App Bora Sana Nimekopa Kwa Mala Ya Kwanza Wakanipa Elf 50 Liba Yao Ni Shiling Elf 7 Jumla Inakua Elf 57 Nimemaliza Kulipa Wananikopesha Elfu 50 Tena Me Nataka Waniongeze ,,, Vp We Mwenzangu Mkopo Wa Pili Wamekupa Kiasi Gan
 
Mimi pia nilikopa kama Nara NNE kwa sasa ila nipo kwenye 40,000.wanachozingatia kwenye maswali uliutumiaje mkopo uliopita na taarifa zako za Mara ya kwanza Kabisa za mkopo wa kwanza,ila Daa wanasaidia ukipigika

Sent using Jamii Forums mobile app
tuma link yao hapa tuangalie mkuu maana mnaongea hamjatutumia
 
Kuna Mtu Anauliza Liba Ni Kwa Siku Ngap Ila Ukipema Mkopo Unachakua Kuludisha Awam 3 Au 4 Ukichagua Awam 4 Liba Yake Ni Elfu Kumi Na Awam 3 Liba Yake Ni Elf 7 Me Nilichagua Awam 3 Naludisha Kila Baada Ya Siku 7 ,,,hyo Naongelea Mkopo Wa Elf 50 ,,,
 
Kuna Mtu Anauliza Liba Ni Kwa Siku Ngap Ila Ukipema Mkopo Unachakua Kuludisha Awam 3 Au 4 Ukichagua Awam 4 Liba Yake Ni Elfu Kumi Na Awam 3 Liba Yake Ni Elf 7 Me Nilichagua Awam 3 Naludisha Kila Baada Ya Siku 7 ,,,hyo Naongelea Mkopo Wa Elf 50 ,,,
Samahani ila ni "riba" sio liba.
Kurudisha sio kurudisha. Ila samahani nimeona ni vizuri nikusahihishe.
 
Back
Top Bottom