Make : Toyota
Model : Coaster
Mileage : 317,503km
Engine size: 4,160cc
Gasoline : Diesel
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Manual
M/Year : 2000
Doors : 2
Seats : 29...
Nahitaji kufungua kiwanda kidogo (home factory) cha kuzalisha Mikoba ya kina mama handbags za kisasa sawa na zile zinazotoka China. Tena zangu zina ubora zaidi. Mimi ni designer wa hizo bidhaa...
Fursa kwa wale logo makers, Nahitaji logo yenye components zifuatazo.
Iwe na circle ya Dunia ( world Map ), not detailed
Iwe na ramani / map ya Afrika ( not detailed )
Iwe na sarafu ya fedha...
True Ink Associates inapenda kuwatangazia wote
kuwa review class ya CISA
(Certified Information Systems Auditor) kwa ajili ya kuwapa
ujuzi wanafunzi utaalamu wa jinsi ya kukagua mifumo ya...
Kuna vyumba vinapangishwa Dodoma mjini, self contained, woodern syling board, no tiles but nice floor, water available in doors 24hrs, electricity (10,000/= kwa mwezi), bei 80,000/= kwa mwezi...
Lipo maeneo ya Ukonga kipunguni moshi bar. Ni hivi ilikuwa ni nyumba kubwa lkn mwenyewe watu aliowaachia wantuzie hiyo nyumba upande mmoja wa nyumba walikuwa wamechimba mchanga nyumba ikabomoka...
Masomo ya Pre - form one yameanza kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba. Wazazi na walezi mnatangaziwa kuwaandikisha watoto wenu kituoni kwetu, EBENEZA ACADEMY.
Pia, Tunafundisha wanafunzi...
Hii ni Kwa Wale wanaotarajia kufanya mtihani wa necta masomo ya chemistry na biology
Mwalimu yupo anapatikana kwa gharama nafuu tunafanya solving ya maswali yote kwa topic zote
Kwa mawasiliano...
@elegantglamour #mobilemua arusha napatikana moshono #Mysaloon ukihitaji kufuatwa nyumbani pia huduma ipo, mikoa yote Tz nasafiri, bei zetu ni sawa na bure cheap kabisa na make up ni original...
Nyama ya nguruwe poa kabisa inapatikana kwa bei ya chini. Bila malipo yoyote. Mbichi Kilo @8500/=
Reja reja na @8000 jumla kuanzia kilo 2
Roast au kavu kwa 14000/- tu
Unaletewa popote ulipo...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza zipo jumla lita 2000 yaani dumu 100 za asali mbichi original ya nyuki wakubwa ujazo wa lita 20.
Mazungumzo kidogo kwenye bei yapo karibuni.
Dar es Salaam pia...