Leo Asubuhi
Member
- Apr 5, 2017
- 64
- 43
Ndugu zangu, kanisa limeanzishwa, waumini wamejichanga na mimi nimekabidhiwa fedha kwa ajili ya kununua Kinanda nauliza bei ya Kinanda 450 na 770 au zaidi tukikubaliana tufanye biashara.
Kanunue mkuu, achana na usedNdugu zangu, kanisa limeanzishwa, waumini wamejichanga na mimi nimekabidhiwa fedha kwa ajili ya kununua Kinanda.
Nauliza bei ya Kinanda 450 na 770 au zaidi. Tukikubaliana tufanye biashara.
Nataka kununua mpya, nauliza bei wakuu ili ninapokuja huko niwe najuaK
Kanunue mkuu, achana na used