Ha ha sasa kama na wao wanavijana wasio na familia?????. Kwa maneno mengine nenda ukiwa single utarudi na mwenza ova[emoji124] [emoji124] [emoji124]Why wapangaji wengi hawataki familia, wanapenda zaidi bachelor??
Usumbufu......wati wenye familia huwa wanachosha nyumba haraka.....uchavuzi wa mazingira....kelele za watoto ....matumizi mabaya ya umeme na maji na kadhalika.....me ni baba mwenye nyumba so ninaongea kwa uzoefuWhy wapangaji wengi hawataki familia, wanapenda zaidi bachelor??
Usumbufu......wati wenye familia huwa wanachosha nyumba haraka.....uchavuzi wa mazingira....kelele za watoto ....matumizi mabaya ya umeme na maji na kadhalika.....me ni baba mwenye nyumba so ninaongea kwa uzoefu
Utazania = utadhania.Utazania ulikuwa kwenye nyumba ya Babako ...!