Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu. Nina uhitaji mkubwa wa mashine tajwa hapo juu. Nahitaji zinazotumia umeme. Naomba kwa wauzaji waliopo Arusha/Moshi ili kuokoa gharama za usafirishaji. Asanteni
0 Reactions
4 Replies
3K Views
MASHINE ZA KUSAGIA NYAMA ZISIZOTUMIA UMEME Tunauza mashine ya kusagia nyama,inasaga nyama kwa urahisi sana na zinatoka vizuri Zipo tofauti zinatofautiana kwa ukubwa Saizi ndogo kabisa (D8) ni...
0 Reactions
1 Replies
10K Views
Habari zenu wakuuu.. Napenda kuwatangazia tunauza mashine kubwa mpya na imara za kusagia nyama. Hazitumii umeme,ni nguvu yako ya mkono wako tu Hizi ni saizi kubwa D32. Zinasaga nyama zinakuwa...
2 Reactions
2 Replies
7K Views
Wakuu habari Naomba mnisaidie nanunua kuku wa kienyeji pure kabisaaa ambao wanakaribia kutaga nimesikia mikoani vijijini wapo wengi naweza kupata kuanzia 6000 mpaka 8000 wapo wengi sanaa basi...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Kiwanja kinaukubwa wa 18*20 gari inafika hadi ktk kiwanja . Bei nafuu sana. Umeme na kisima cha maji vipo karibu sana. Bei tzs 3,950,000.00 Call 0658 554 992
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu natafuta jiko la kitimoto katika bar iliyochangamka maeneo ya kimara mpaka mbezi...msaada tafadhali wakuu
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Habari zenu wadau nauza nyumba iliyopo maeneo ya mbagala mwanamtoti nyumba ina vyumba vitatu bei ni million 75 kwa mawasiliano zaidi piga namba 0715377241 picha nazileta.
0 Reactions
3 Replies
970 Views
Namba ufafanuzi wa kampuni inayoitwa VIGUTA wamesema wanatao huduma ya kukujengea nyumba kwa gharam tofaut. Namba ufafanuz kwa wanao Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Kama unahitaji nguo za kike jumla na Rejareja kwa Dar Unaletewa hadi ulipo mkoani unatumiwa ukipenda unalipia tupigie 0713 114394
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Nikon D300s inauzwa pamoja na lens mbili 18mm hadi 135 na nyingine 55 hadi 300, ina photogrip,charger moja na betri moja bei 1,500,000
0 Reactions
4 Replies
929 Views
Nahitaji external dvd driver kwa ajili ya laptop. Nipo korogwe-tanga ,.
0 Reactions
1 Replies
718 Views
Coffee plantation for sale with plantation= with title deed == price is negotiable== location east Africa Tanzania we have small scales plantation we have larger scales plantation for sale and...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Haloo,kwa wana Jf ninahitaji laini mbili za uwakala wa Mpesa kwa mwenye nazo anicheki kwa namba zifuatazo hapa chini 0753263069 Niko kagera,wilaya ya kyerwa.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wanajamvi. Ninauza moisture meter ya kisasa ya kupima nafaka. Inafaa kwa wafanyabiashara wa nafaka, wakulima na vyuoni kwa ajili ya ya kujifunza. Ina accessories zote pamoja user manual...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wajasiliamali wenzangu. Ninashamba la mihogo tupu kama hekari tano5 nilisikia kua wachina wanahitaji mihogo kutoka kwetu tanzania mwenye connection naomba ani connect na hao wachina...
1 Reactions
1 Replies
822 Views
Karibuni sana katika ufugaji wa nguruwe nina banda kubwa la mabanzi bagamoyo kiromo lenye tayari umeme wa solar na maji ya kisima na tank lenye litre 5000ltr.vijana wawili wenye ujuzi wa ufugaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenye uhitaji wa line ya M-PESA (TIL) tuwasiliane kwasasa niko mbeya ila kuanzia tarehe 15 ntakua dar es salaam.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
samsung galaxy s7 edge for sale 32gb,4G LTE colour:silver titanium 750k pm for more details
0 Reactions
3 Replies
933 Views
*LINE YA UWAKALA - TiGO PESA* *>Line ipo secure na utaunganishwa na wakala mkuu anayeihudumia* *>Location - Dar es Salaam* *>Bei - 120,000/=* *>Kwa maswali au maelezo zaidi contact;* ☎...
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Kesho nitakuwa mjini niki fanya deliver ya cover sofa set Kuanzia SAA 5asbh Kuweka oder yako wahi oficine tabata asbh Au weka oder kupitia 0713691101 iko hewani 24/7 pia kwa picha zaidi njoo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…