Wadau habari.
PC yangu ni DELL LATITUDE E6410. Jumba (housing) linaloshikilia kioo chake limechoka sana. Naomba kama kuna mtu anaweza nisaidia nipate spea yake tuwasiliane kwa namba 0785777710...
Jipatie MiFi kutoka kampuni ya smile telecommunications yenye uwezo wa kuconnect devices 10 kwa wakati mmoja na wote mkafurahia kasi ya ajabu.
Rangi ni nyeusi na nyeupe
Tsh 115,000/= + 10 Gb kwa...
**Offer offer offer
1. lipia Canal miezi miwili kwa 40,000/= kila mwezi.
2. Utapata wiki mbili za kifurushi EVASION+ Yenye A+ SPORT Channel number 101.
Malipo ya kawaida
Axcess = 20,000/=...
Karibu kwa wataalamu wa ujenzi wa Ofisi Na MADUKA yakisasa mjini, tunafanya Kazi Na clients kuanzia design stages to implementation, tunatoa huduma nyingine Kama Arch. visualisation Na product...
Bei chee tu haina kasoro
GB 16
Ram 2 GB
Camera 13 MP
Duos
Betri 4000mAh
Full kipupwe njoo ukague kabsa kama ikiwa na kasoro nakupa garama za usumbufu
Tsh.250000
habari zenu wapendwa?
tunauza Mashine za kuangulia vifaranga(Incubator) bei poa
pia ni automatic,,na zinaanzia mayai 50-1000.
pia tunatoa elimu ya matumizi na ya uifadhi wa mayai...karibuni sana
Habari za humu wanajukwaa! Natumai wote mko salama na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku ya kuhakikisha mnakuwa na Maisha bora.Nahitaji msaada wa nyumba ya kupanga lkn maeneo ya...
GOOD HOPE SECONDARY SCHOOL,
INAPENDA KUWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA 2018,
Pia ina nafasi kwa kidato cha pili, cha tatu na cha nne.
NI SHULE NZURI NA YENYE...
TUITION TUITION TUITION.
KWA WANAFUNZI WOTE WALIOKO KAGONGWA, MPERA, ISAGEHE NA BUGISHA NA MWALUGULU
MNAKARIBISHWA MASOMO YANAYOFUNDISHWA NI,
PHYSICS
CHEMISTRY
BIOLOGY
KISWAHILI
HISTORY
GEOGRAPHY...
Habarini wana jf,
Kutokana vyuma kukaza nimefikilia kuanzisha biashara ya zambalau ambayo itanisaidia kujikwamua na hii hali ngumu yasasa
Anae yajua masoko plz, msaada
Wakuu habari,nauza vifaa vya saloon ya kiume vilivyotumika,
Kuna vitu viwili laki 4
Vioo vikubwa vya ukutani viwili laki
Kitu sofa l watu wawili laki
Vishelve vya ukutani vya kioo 10000
Note...
Mtaalamu wa Mifugo anapatikana hapa dar.
Anahudumia Mifugo yote ****.
Mbwa
Ng'ombe
Mbuzi
Kondoo
Paka
Kuku
Bata
Kanga.
Ushauri pia anatoa bure.
Karibu .
Mwenye fridge size ya kati aina ya boss liwe la chini na sio la kusimama yaani namaanisha la biashara kwa ajili ya kupozea vinywaji nipo Morogoro kwa wiki hii then wiki ijayo nitakua Dar safari ya...