Nyumba ya kupanga

Nyumba ya kupanga

454

Senior Member
Joined
Apr 23, 2017
Posts
136
Reaction score
193
Habari za humu wanajukwaa! Natumai wote mko salama na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku ya kuhakikisha mnakuwa na Maisha bora.Nahitaji msaada wa nyumba ya kupanga lkn maeneo ya mbagala,Chamanzi,Kongowe,kigamboni,twangoma,mwandege na maeneo mengine yaliyo jirani na maeneo hayo.Sifa za nyumba:1.iwe na sitting room,Jiko,Choo cha ndani na vyumba vya kulala visivyopungua viwili lkn vikizidi itakuwa bora zaidi bajeti yangu ni 150000
 
Habari za humu wanajukwaa! Natumai wote mko salama na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku ya kuhakikisha mnakuwa na Maisha bora.Nahitaji msaada wa nyumba ya kupanga lkn maeneo ya mbagala,Chamanzi,Kongowe,kigamboni,twangoma,mwandege na maeneo mengine yaliyo jirani na maeneo hayo.Sifa za nyumba:1.iwe na sitting room,Jiko,Choo cha ndani na vyumba vya kulala visivyopungua viwili lkn vikizidi itakuwa bora zaidi bajeti yangu ni 150000
Hiyo hela ni ya chumba sebule na jiko bas
 
Unapata sana mahitaji,kuna jamaa niliona ametangaza yenye sifa kama hizo huko kigamboni tafuta jukwaa la matangazo mkuu. Usikatishwe tamaa na wapenda tamaa,utapata mkuu.
 
Unapata sana mahitaji,kuna jamaa niliona ametangaza yenye sifa kama hizo huko kigamboni tafuta jukwaa la matangazo mkuu. Usikatishwe tamaa na wapenda tamaa,utapata mkuu.
Asante sana Maserati,Mimi huwa sikati tamaa mpaka siku ntakayoaga Dunia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom