Bei take ni 200,000 ila punguzo lipo tu. Napatikana Temeke Dar es salaam.
Ukihitaji nitafute hapa 0653116399.
Siingii online Mara kwa Mara kwa ni vizuri ukanicheki kwenye simu tu.
Nipigie simu mkuu tuongee zaidiChukua 100000 fasta
Hata mie kanishangaza wakati mpya k/koo unaipata kwa Sh. 120,000 mpaka 130,000Used laki 2, okay all the best
kuna duka pale gerezani inauzwa elf 90 (sale), Ya hivo hivo, tusiharibu biashara bye tehHata mie kanishangaza wakati mpya k/koo unaipata kwa Sh. 120,000 mpaka 130,000
Hahaha byekuna duka pale gerezani inauzwa elf 90 (sale), tusiharibu biashara bye teh
MKUU haina tatizo lolote kabisa ni kama mpya vile.nicheck hapa 0653116399.siingii online Mara kwa Mara so nipigie au nitext tuongeeMkuu, nzima kabisa kioo hakija crack??
mkuu acha hizo mambo,wewe kama unaona huna hiyo hela sio lazima kucoment.mimi nimesema kiasi hicho ila pia inapungua .so kama una chini ya hiyo hela sema una ngapi usikilizwe ila sio kuharibu tangazo la mtu. dukani ni 200 mpaka 250. s0 mimi ni 200 kushuka chini. najua ninachofanya mkuuAcha utani mkuu used 200,000.? ebu sema kwanza features zake linaonekana sio la kawaida
[emoji1] [emoji1] [emoji1] unajitekenya na kucheka mwenyewemkuu acha hizo mambo,wewe kama unaona huna hiyo hela sio lazima kucoment.mimi nimesema kiasi hicho ila pia inapungua .so kama una chini ya hiyo hela sema una ngapi usikilizwe ila sio kuharibu tangazo la mtu. dukani ni 200 mpaka 250. s0 mimi ni 200 kushuka chini. najua ninachofanya mkuu
poa mkuu[emoji1] [emoji1] [emoji1] unajitekenya na kucheka mwenyewe
sijui aina ya mbao mkuu ila kama unavoiona ni haijatumika mda mrefu na kioo kiko safi hakijapasuka. nicheck 0653116399Mbao aina gani hiyo