Habari kama kichwa cha habari kinavyojieleza naitaji sofa nzuri za kisasa nipo mbeya kama kuna fundi au mfanyabiashari wa sofa anaweza nicheki pm nimpe number ya whatsapp anitumie picha Asante
Habari
Nauza router wi fi ya huawei imesajiliwa kwa kampuni ya safaricom
Model: E5573Cs-322,
Network:4G
Condition: Locked, bado mpya
Bei: Tsh 80,000 maongezi yapo
Hotline: 0755 411 455...
Nina unlocked Samsung Galaxy S4 (SGH-I337)
Internal Storage Space - 16 GB (+ microSD Slot Expandable up to 64GB)
RAM - 2 GB
13 Megapixel Camera
Originally ilitumika kwa mtandao wa AT&T huko...
Wakuu habari, ningependa kufahamishwa sehemu ambapo hizi packages (cups) za juice na hiyo ya hot chocolate zinapatikana
ikiwezekana na bei zake
N.B: (zilizo tupu kwa ajili ya biashara /brand...
Tupate kwa Whatsapp no: +255768829357, Email: frankmartha955@gmal.com na instagram DM e_graphicstz, gharama ya huduma zetu ni affordable kwa kila mtanzania wa kawaida.
Mfano wa kazi zetu:
Nahitaji mwenye nayo au kujua wapi nitaweza kupata housing original ya nokia c2-01.
Nimehangaika bila mafanikio. Nikiweka hizi za kichina za elfu 3 button zinakataa kabisa kupiga kazi.
Shukrani zangu!
Inafaa kwa matumizi ya photography na videography ktk mazingira tofauti tofauti.
Features;
1.black, useful kublock unwanted light towards your subject
2.white, useful to add brightness to your...
Nipo Dodoma ninauza vitambaa vya kufuma kwa bei poa jumla na rejareja..
N.B Natengeneza mwenyewe hivyo tukiongea unaweza kuletewa kwa bei poa kulingana na makubaliano pia unaweza kuweka order ya...
Kama ni mfanyabiashara au mnunuzi umekuwa ukisunbuka sana kujua thamani ya sarafu fulani, huenda ikawa umeona bidhaa online kwa bei ya nchi fulani lakini hujui thamani yake kwa dola au shilingi...
Kwa nini choo kinuke wakati suluhisho lipo Jipatie manukato ya choo yenye harufu nzuri ya kuvutia product ya south africa.
Baada ya kusafisha choo chako kausha maji kisha mimina manukato haya...