Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wapo kama 40 hivi, bei yake majike elfu 25 madume elfu 35 Nipo Chanika.
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Kwa yeyote yule anayehitaji eneo Dodoma mjini mwenye sifa azitakazo yeye. Kwa mfano; 1.Umbali toka katikati ya mji 2.Upatikanaji wa maji, umeme 3.Eneo lenye fursa nzuri kama...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar wadau Ninataraj kuanza kununua Mihogo toka kwa wakulima na kwenda kuuza kwenye masoko dar ........naomben ushaur kwa wajuz ..masoko yanaptkana VP na inauzwaje kwa sokon bugurun ...ukiwauzia...
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Natafuta mashine ya kubangua karanga. Ningefurahi pia kama ningepata ushauri wa aina ya mashine inayofaa zaidi. Asanteni
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Umoja Switch inianzishwa miaka zaidi ya kumi iliyopita ili kuwezesha benki ndogo na za kati kuweza kupata huduma za ATM. Kupitia Umoja Switch benki zaidi ya 27 zinawezesha wateja wao kupata huduma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tag unachotaka upewe price. Order kupitia 0769509430 Whatsup Karibuni.
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wakuu habari za wakati huu? Tumelima matango hapa bunju dar es laam sasa yamekomaa na ssoko hatuna hivyo tunatafuta madalali wanaohusika tuwauzie. Bei yetu sio kubwa tunauza mzao yaishe na si...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini waungwana, natafuta nyumba maeneo ya mbezi Beach, two bedrooms self-contained, isiyozidi laki nne. Ni PM kama una taarifa nazo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye camera canon 550d isiyona tatizo lolote njoo tuyajengee
0 Reactions
1 Replies
490 Views
Wadau natafuta brevis au gx110 iliyo katika hali nzuri bajeti 7m, mileage isizidi 100,000 na CC isizidi 2500
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Nahitaji creti za bia chupa kubwa kampuni ya TBL creti 50 kama unazo piga namba 0692 950167 uniuzie kama bei yako itakuwa ndani ya uwezo wangu au makubaliano
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini wana-JF, ninaomba kujulishwa sehemu naweza nunua material za kuprint tshirt. Materials kama vile gauze, rangi, emulsion, n.k na bei zake. Kwa upande wa mkoa wa Dar. Kwa yeyote anayefahamu...
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Habari, Mimi ninashida ya mayai ya kizungu kwa hapa Dar es salaam ,shida yangu Ni trei 10 kwa siku ,Kama wewe Ni mfugaji na upo hapa dar itakuwa vizuri tufanye biashara
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapi ntapata vitunguu swaumu, tangawizi, karafuu na pilipili kwa wingi kama tani 1000. Msaada wakuu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyosema sasa nimefanikiwa kufungua maduka online katika tovuti tatu lakini tovuti moja inaruhusu kuuza bidhaa za kiafrika pekee niko hapa kuomba mwenye bidhaa hizo tufanye biashara...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
..kwa wale wanaojua mahali naweza uza bundi wanieleweshe nimpeleke
0 Reactions
10 Replies
1K Views
nahitaji mdau anae print picha kwenye vikombe, nko dsm.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Anaejua bei za mashine za kusaga mahindi, kukoboa mahindi na mpunga anisaidie kunijuza Nauzoefu pia wa kufungua kiwanda kidogo mwwnye utaalamu plz
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nawasalim Wana Jf: Nauza jokofu (freezer) langu lenye ukubwa wa kati, lipo Maeneo ya Sabasaba Morogoro Manispaa, bei ni Tsh 400,000 tu. Ina hali nzuri, na lina uwezo mkubwa wa kupooza na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hi, Title inajieleza mwenye yuko serious tuwasiliane. Pikipiki kwa malengoya bishara ya usafirishaji. Wasalam
0 Reactions
4 Replies
969 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…