goodfool JF-Expert Member Joined Oct 11, 2016 Posts 1,668 Reaction score 996 Dec 3, 2017 #1 Hi, Title inajieleza mwenye yuko serious tuwasiliane. Pikipiki kwa malengoya bishara ya usafirishaji. Wasalam
Hi, Title inajieleza mwenye yuko serious tuwasiliane. Pikipiki kwa malengoya bishara ya usafirishaji. Wasalam
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 53,730 Reaction score 99,607 Dec 3, 2017 #2 Haujaeleweka. Una maanisha utalipa 25% tu basi mmemalizana? Au weye ndiyo ulipwe?Au utamlipa dalali? Funguka.
Haujaeleweka. Una maanisha utalipa 25% tu basi mmemalizana? Au weye ndiyo ulipwe?Au utamlipa dalali? Funguka.
goodfool JF-Expert Member Joined Oct 11, 2016 Posts 1,668 Reaction score 996 Dec 3, 2017 Thread starter #3 Moisemusajiografii said: Haujaeleweka. Una maanisha utalipa 25% tu basi mmemalizana? Au weye ndiyo ulipwe?Au utamlipa dalali? Funguka. Click to expand... Yani malipo ya awali ni asilimia 25 ya bei, then tuanzie hapo
Moisemusajiografii said: Haujaeleweka. Una maanisha utalipa 25% tu basi mmemalizana? Au weye ndiyo ulipwe?Au utamlipa dalali? Funguka. Click to expand... Yani malipo ya awali ni asilimia 25 ya bei, then tuanzie hapo
Erickford4 JF-Expert Member Joined May 22, 2017 Posts 1,133 Reaction score 1,099 Dec 3, 2017 #4 yapo baadhi ya maduka yanayochukua pesa kwa awamu nadhani yanaweza yakakufaa ila hawakupi chombo hadi ukamilishe
yapo baadhi ya maduka yanayochukua pesa kwa awamu nadhani yanaweza yakakufaa ila hawakupi chombo hadi ukamilishe
goodfool JF-Expert Member Joined Oct 11, 2016 Posts 1,668 Reaction score 996 Dec 3, 2017 Thread starter #5 Erickford4 said: yapo baadhi ya maduka yanayochukua pesa kwa awamu nadhani yanaweza yakakufaa ila hawakupi chombo hadi ukamilishe Click to expand... Sasa nitazalishaje? Hawanifai LoL
Erickford4 said: yapo baadhi ya maduka yanayochukua pesa kwa awamu nadhani yanaweza yakakufaa ila hawakupi chombo hadi ukamilishe Click to expand... Sasa nitazalishaje? Hawanifai LoL