thewajibu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 226
- 293
Kama kichwa kinavyosema sasa nimefanikiwa kufungua maduka online katika tovuti tatu lakini tovuti moja inaruhusu kuuza bidhaa za kiafrika pekee niko hapa kuomba mwenye bidhaa hizo tufanye biashara pamoja mimi nitahitaji picha ya bidhaa nitauza baada ya mteja wangu kulipia bidhaa ntakuja kuchukua bidhaa kwako kwa bei tutakayoelewana.
itapendeza ukiwa Mwanza
itapendeza ukiwa Mwanza