Wakuu habari za majukumu.
Naomba kujua wapi nitapata mashine ya kupukuchua mahindi (kutenganisha mahindi na magunzi yake).
Niko nje ya Dar, kama unayo mashine ya namna hiyo naomba unipe...
Ndugu wana jamii forum nauza machine kubwa ya kupukuchua mahindi. Ina uwezo wa kupiga gunia 250 kwa siku na inatumia engine ya diesel Horse power 20 ambayo nayo ipo hapohapo katika machine. Bei ni...
Habari zenu wanaJF
Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyosoma
Tunafanya kazi za ujenzi katika umaliziaji wa nyumba hatua za mwisho katika maeneo haya
1. Kuweka gypsum na Kudizaini maua au...
Kipo pwani.mlandizi.ukubwa wa 20 kwa 20 .na cha ukubwa wa 30 kwa 20.bei milioni mbili na nusu kwa milioni tatu.umbali toka barabarani km 2.
Nipo mlandizi msufini karibia na sheli...
Habari waungwana!
Nimejaribu kupekua mitandaoni ili kupata bei za mazao mbalimbali sijapata tovuti rasmi inayoonyesha takwimu za bei za mazao/vyakula.
Kwa anayejua viazi mviringo Mbeya kwasasa au...
Habari wana Jukwaa.
Nahitaji mtu anayeweza kutengeneza sabuni za kuogea za mche. Kama unaweza au una mfahamu mtu ajuaye tafadhali niunganishe naye.
Kuna rafiki yangu ana uhitaji sana, Pia waweza...
Wakuu kwema!!
Kama kichwa kinavyo jieleza TV aina ya aborder size 19 inauzwa kwa 200k,Radio aina ya aborder inauzwa kwa 100k,king'amuzi cha startimes kwa 20k,stend ya TV kwa 20k...!
Napatikana...
MIFUPA
Tunauza mifupa inayotokana na wanyama kama vile ng'ombe, mbuzi nk
MATUMIZI
1. Inatumika kutengeneza chakula cha mifugo, kama vile kuku, kanga, bats ,nk
2. Kutungenezea sahani za mifupa...
Laptop min bytspeed
SIFA ZAKE;
- HARD DISK 80GB
- RAM 2GB
-PROCESSOR 1.60GHZ
-NI TOUCH SCREEN
-NI SCREEN ROTATE
-INA WEB CAMERA
-INAKAA NA CHAJI MASAA 8
BEI Tsh 250,000/= tu.
anayehitaji anichek...
Nauza laptop yangu kwa bei ya shilingi laki nne (4) specifications zake ni RAM 4GB. HARD DISK 500GB processor 1.6 Hz system type 64-Bit operating system kama unaitaji ni D.M
Ndg zangu sina shaka hamjambo...tangazo langu nikwamba kinahitajika chumba kimoja cha kupanga kuanzia shilingi35000 mpka 50000, maeneo ya tabata. Ikiwa self itapendeza zaidi kwa mawasiliano ni pm
1. Taarifa za kutosha/nyingi na za kipekee unique content
2. Ukurasa unaoload kwa haraka na wenye code chache
3. Menu rahisi kwa mteja na viunganishi angalau kila paragraph
4. Kupandisha kwenye...
Pata calender mpya ya mwaka 2018 yenye picha yako binafsi, familia, office au ya pamoja na marafiki kutoka SMART IT SOLUTIONS kwa bei ya kuanzia
TSH 5,000/=
Piga:06528222228...
Pata calender mpya ya mwaka 2018 yenye picha yako binafsi, familia, office au ya pamoja na marafiki kutoka SMART IT SOLUTIONS kwa bei ya kuanzia
TSH 5,000/=
Piga:06528222228
whatsapp:0652822228.