MACHINE KUBWA YA KUPUKUCHUA MAHINDI

MACHINE KUBWA YA KUPUKUCHUA MAHINDI

adolph5454

Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
5
Reaction score
4
Ndugu wana jamii forum nauza machine kubwa ya kupukuchua mahindi. Ina uwezo wa kupiga gunia 250 kwa siku na inatumia engine ya diesel Horse power 20 ambayo nayo ipo hapohapo katika machine. Bei ni 3,000,000 maelewano yapo msiogope.Nna shida ya haraka ndio maana nauza.
Namba zangu ni 0757-963690 niko mbeya
 

Attachments

  • 21105942_1558579677498385_2585602717422566707_n.jpg
    21105942_1558579677498385_2585602717422566707_n.jpg
    38.4 KB · Views: 85
Back
Top Bottom